Mungu anatafuta watu wa kumuabudu sio watafuta unabii kanisani achaneni na makanisa ya manabii tafuteni ya waabuduo tu
Kutwa kuongelea dunia na mambo ya dunia tu
Waumini hameni hiyo mikanisa ya kinabii nendeni kwenye makanisa ambako waabudu tu Mungu na kuondoka zako
Achaneni na hao wapuuzi manabii ambao kutwa kuongelea ya duniia tu na fahari zake wafuasi wa shetani hao.
Wanataka watu tu waonyeshwe tu fahari za dunia na vitu vya dunia, mara naona Samia, mara ohh naona mwaka huu utapata gari na nyumba mara ohh naona CCM inaaanguka na Chadema inashika mara ooh naona bibi yako kakuroga
Ujinga mtupu ni wakati wa waumini kushtuka na kuhama hiyo mikanisa ya waona dunia na fahari zake na vilivyomo duniani
Watafute ambayo unaabudu Mungu tu na kuondoka zako sio kusikiliza porojo za hao wanga wawinda pesa na mali za dunia kupitia kivuli cha unabii
Yesu alisema Mungu anatafuta watu wa kumuabudu sio kufuata nabii au chochote
Kutwa kuongelea dunia na mambo ya dunia tu
Waumini hameni hiyo mikanisa ya kinabii nendeni kwenye makanisa ambako waabudu tu Mungu na kuondoka zako
Achaneni na hao wapuuzi manabii ambao kutwa kuongelea ya duniia tu na fahari zake wafuasi wa shetani hao.
Wanataka watu tu waonyeshwe tu fahari za dunia na vitu vya dunia, mara naona Samia, mara ohh naona mwaka huu utapata gari na nyumba mara ohh naona CCM inaaanguka na Chadema inashika mara ooh naona bibi yako kakuroga
Ujinga mtupu ni wakati wa waumini kushtuka na kuhama hiyo mikanisa ya waona dunia na fahari zake na vilivyomo duniani
Watafute ambayo unaabudu Mungu tu na kuondoka zako sio kusikiliza porojo za hao wanga wawinda pesa na mali za dunia kupitia kivuli cha unabii
Yesu alisema Mungu anatafuta watu wa kumuabudu sio kufuata nabii au chochote