Achana na Chopa Rais wangu ajaye.....

Achana na Chopa Rais wangu ajaye.....

Nikiwa mwana mabadiliko nje ya ccm.. yaani mwana Ukawa halisi.. . roho imeniuma sana baada ya kusoma Kifo cha Mh. Filikunjombe Deo kwenye akaunti ya tweeter ya Mh. Jerry Silaa.... sababu ziko tele kwa nini nimeumia sana kwani kila mtu anazijua (mapambano ya haki kwa watz)... kifupi, wapenda mabadiliko nje ya ccm hawachukii chama (ccm) bali yatendwayo ndani ya ccm.

Tukiwa bado tuna majonzi ya wapambanaji wengi kama Mtoi, Makaidi, Mtikila na pia kina Selina, Kigoda... Mgombea ubunge wa ACT Arusha n.k.... kwa kweli uchaguzi wa mwaka huu umeleta shida kubwa...... wapo pia walio nusurika ajali wengi tu kama mh. Lembeli...

Zimebaki siku 8 kabla ya kampaini kufungwa, nakuomba sana Mh. Raisi ajaye wa Ukawa, mzee wa anga Mh. Mbowe msitumie chopa kwa kipindi hiki..... tujaribu kupunguza risk iliyo mbele maana japo vifo vya walio wengi havijatokana na chopa ila chopa ni habari nyingine ikiwa na hitilafu au ikifanyiwa mambo..... ( hope waconect dots mtanielewa)

Nawakilisha....

Ni mmoja tu anajua uendako! Cha muhimu ni kuombeana.
 
Yaani makufuli aanguke na chopa apone.....labda movie mpya!

Ndugu huwa haufuatilii habari? Magufuli alianguka na chopa akiwa na RC wa mkoa wa DSM pamoja na makamu wa Rais ilitokea Ukonga DSM mwaka juzi
 
Nikiwa mwana mabadiliko nje ya ccm.. yaani mwana Ukawa halisi.. . roho imeniuma sana baada ya kusoma Kifo cha Mh. Filikunjombe Deo kwenye akaunti ya tweeter ya Mh. Jerry Silaa.... sababu ziko tele kwa nini nimeumia sana kwani kila mtu anazijua (mapambano ya haki kwa watz)... kifupi, wapenda mabadiliko nje ya ccm hawachukii chama (ccm) bali yatendwayo ndani ya ccm.

Tukiwa bado tuna majonzi ya wapambanaji wengi kama Mtoi, Makaidi, Mtikila na pia kina Selina, Kigoda... Mgombea ubunge wa ACT Arusha n.k.... kwa kweli uchaguzi wa mwaka huu umeleta shida kubwa...... wapo pia walio nusurika ajali wengi tu kama mh. Lembeli...

Zimebaki siku 8 kabla ya kampaini kufungwa, nakuomba sana Mh. Raisi ajaye wa Ukawa, mzee wa anga Mh. Mbowe msitumie chopa kwa kipindi hiki..... tujaribu kupunguza risk iliyo mbele maana japo vifo vya walio wengi havijatokana na chopa ila chopa ni habari nyingine ikiwa na hitilafu au ikifanyiwa mambo..... ( hope waconect dots mtanielewa)

Nawakilisha....

Haijalishi...Mungu anachukua roho ako sehem yeyote mkuu..waeza usitumie chopa ukafia juu ya lami...xo mi nadhan roho inachokuamuru kwa wakati fulani ndiyo kitu sahihi kwa wakati huo
 
Haijalishi...Mungu anachukua roho ako sehem yeyote mkuu..waeza usitumie chopa ukafia juu ya lami...xo mi nadhan roho inachokuamuru kwa wakati fulani ndiyo kitu sahihi kwa wakati huo
Nakuelewa mkuu, na huo ndo msimamo wangu siku zote.... lakini naingiwa hofu kama binadamu... yaliyo tokea kwenye kipindi cha uchaguzi huu yanatisha.... yaani naogopa sana mkuu.... nakumbuka kina Galang, George Saototi na pia naangalia uhasama wa kisiasa ulipo... ni woga tu wa kibinadamu....
 
Umeongea Point Mkuu, Ni Kweli Kabisa Ukiachana Na Mechanical Faults Na Human Error,


Pia Nadhani Chopa Zote Zinachukua Mawasiliano Tokea Airport Dispatch, Hivyo Kama Mchezo Ukichezwa Na Mawasiliano Yakakatwa Ghafla Wakiwa Urefu Wa Mita Za Juu Angani ( Kijasusi) Hii Inaweza Kuwasababishia Janga Kama La Jana-japo Hili La Jana Lilikuwa Tatizo La Kiufundi,


Umetoa Angalizo Jema Kwa Ukawa, They Have To Be Very Careful & Strategic, Rather Not To Use Chopa!!!
 
Nikiwa mwana mabadiliko nje ya ccm.. yaani mwana Ukawa halisi.. . roho imeniuma sana baada ya kusoma Kifo cha Mh. Filikunjombe Deo kwenye akaunti ya tweeter ya Mh. Jerry Silaa.... sababu ziko tele kwa nini nimeumia sana kwani kila mtu anazijua (mapambano ya haki kwa watz)... kifupi, wapenda mabadiliko nje ya ccm hawachukii chama (ccm) bali yatendwayo ndani ya ccm.

Tukiwa bado tuna majonzi ya wapambanaji wengi kama Mtoi, Makaidi, Mtikila na pia kina Selina, Kigoda... Mgombea ubunge wa ACT Arusha n.k.... kwa kweli uchaguzi wa mwaka huu umeleta shida kubwa...... wapo pia walio nusurika ajali wengi tu kama mh. Lembeli...

Zimebaki siku 8 kabla ya kampaini kufungwa, nakuomba sana Mh. Raisi ajaye wa Ukawa, mzee wa anga Mh. Mbowe msitumie chopa kwa kipindi hiki..... tujaribu kupunguza risk iliyo mbele maana japo vifo vya walio wengi havijatokana na chopa ila chopa ni habari nyingine ikiwa na hitilafu au ikifanyiwa mambo..... ( hope waconect dots mtanielewa)

Nawakilisha....

Mkuu ajali nipopote wote tutakufa ila nikwasitail mbalimbali. Ila kikubwa nikumuomba mungu tu hatujui nani atatangulia.
 
Tahadhari muhimu, muhimu kukodi kutoka kwenye makampuni yanayoeleweka; na vizuir Zaidi wakupatie na Rubani wao. ila kukodi kienyeji kama tunavofanya kupitia madalali, wao wapige 10%, wewe upige 10%. hakuna usalama hapo.

Pia kama tunatumia marubani wetu waangaliwe, Rubani amekaa mwaka nyumbani bila kurefresh inakuwa haina poa.
 
Lowasa ndio mgombea pekee siku ya ibada jumapili ikimuangukia mkoa wowote huenda kanisani kusali, ibada zenu za kishirikina kwa huyu Mzee haziwezi kufanikiwa kwa sababu analindwa na jeshi la malaika wa mbinguni na nguvu za roho mtakatifu. Na wote tusema Ameeeeen.
 
Nikiwa mwana mabadiliko nje ya ccm.. yaani mwana Ukawa halisi.. . roho imeniuma sana baada ya kusoma Kifo cha Mh. Filikunjombe Deo kwenye akaunti ya tweeter ya Mh. Jerry Silaa.... sababu ziko tele kwa nini nimeumia sana kwani kila mtu anazijua (mapambano ya haki kwa watz)... kifupi, wapenda mabadiliko nje ya ccm hawachukii chama (ccm) bali yatendwayo ndani ya ccm.

Tukiwa bado tuna majonzi ya wapambanaji wengi kama Mtoi, Makaidi, Mtikila na pia kina Selina, Kigoda... Mgombea ubunge wa ACT Arusha n.k.... kwa kweli uchaguzi wa mwaka huu umeleta shida kubwa...... wapo pia walio nusurika ajali wengi tu kama mh. Lembeli...

Zimebaki siku 8 kabla ya kampaini kufungwa, nakuomba sana Mh. Raisi ajaye wa Ukawa, mzee wa anga Mh. Mbowe msitumie chopa kwa kipindi hiki..... tujaribu kupunguza risk iliyo mbele maana japo vifo vya walio wengi havijatokana na chopa ila chopa ni habari nyingine ikiwa na hitilafu au ikifanyiwa mambo..... ( hope waconect dots mtanielewa)

Nawakilisha....
Mungu akikuhitaji weweza kufa hata kwa kicheko, mahaba au juice. Uliowataja wote wa chopa ni mmoja tu. Mtangulize Mungu tutafika.
 
Mungu akikuhitaji weweza kufa hata kwa kicheko, mahaba au juice. Uliowataja wote wa chopa ni mmoja tu. Mtangulize Mungu tutafika.
Watu wanakufa wakiwa wanakata gogo kwa raha zao sembuse helicopter. Kwa taarifa yako usafiri wa hatari kabisa ni wa gari. In general haya mambo ya kifo ni sandakarawe. Usipoanguka na helicopter kuna kugongwa na gari, kupaliwa chakula, kufa ukiwa umelala or simply kufa tu! Jiweke tayari kila saa, Mtukuze Muumba wako, tenda wema na siku yako ikifika go!
 
Watu wanakufa wakiwa wanakata gogo kwa raha zao sembuse helicopter. Kwa taarifa yako usafiri wa hatari kabisa ni wa gari. In general haya mambo ya kifo ni sandakarawe. Usipoanguka na helicopter kuna kugon<script id="gpt-impl-0.72284294385463" src="http://partner.googleadservices.com/gpt/pubads_impl_73.js"></script>gwa na gari, kupaliwa chakula, kufa ukiwa umelala or simply kufa tu! Jiweke tayari kila saa, Mtukuze Muumba wako, tenda wema na siku yako ikifika go!



Kweli mkuu, kila mtu atakufa jwa staili tofauti. Wengine watauawa kwa risasi za moto kutokana na amri vunjifu ya sheria ya Kiwete, kukaa zaidi ya mita 200 baada ya kupiga kura. Ni uuaji na umwagaji damu dhahiri na wa makusudi kabisa unaofanywa na serikali dhoof-il-hali na iliyoishiwa pumzi kabisa ya magamba.
 
Kwa taarifa yako wataalam wanasema usafiri wa anga ndio salama kuliko usafiri mwingine wowote

Ni kweli lakini sio vyombo vya anga vya TAnzania. Huko kwa wenzetu hilo nakubaliana nalo. Helicopta hata ikiwa nzuri rubani wake kama hana mafunzo mazuri bado ni hatari.
 
Back
Top Bottom