Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
Tunaweza sema Blackberry imerudi tena Kwa mwaka 2026 ๐ซฃ lakini Kwa namna nyingine unajua kwanini??
Kampuni kubwa ya kutengeneza simu zenye muundo wa batani Kwa ajili ya smartphone kama ilivyo Blackberry inaitwa Click Technology imezindua simu mpya inaitwa Communicator ๐.
๐บ Simu hii inatumia mfumo kamili wa Android 16.
๐ฒ Ikiwa na Kioo aina ya AMOLED display ambayo ni tachiskrini.
โจ๏ธ Simu hii Inakuja ikiwa na physical batani za kubonyeza kama ilivyo Blackberry.
๐ซ Ikiwa na fingerprint sensor Kwa pembeni.
๐ง Inakuja ikiwa na sehemu ya kuchomeka mfumo wa Headphones jacks (headphones za waya).
๐ Battery lake ni 4000mah inaweza kukaa siku mbili bila kuchaji Kabisa.
Credit to: #bongotech255
Simu hii inatumia mfumo kamili Kabisa wa Android, Kwa sasa inapatikana kwa dola $399 mpaka kufikia dola $499. Simu hii itaweza kuachiwa mwaka huu 2026โ๏ธ.