Achague yupi kati ya hawa?


Kwani wewe umemshauri Nini kabla haujamfungulia thread hapa?
Asipoteze muda,achukue uyo wa 36 wamalizie uzee pamoja.
 
Kwani wewe umemshauri Nini kabla haujamfungulia thread hapa?
Asipoteze muda,achukue uyo wa 36 wamalizie uzee pamoja.
Mim kiukweli nawafahamu wote. Wote nafanya nao kazi. Bahati mbaya sana huyu dada kala ujana na mabosi wazito wazito, amekuja kuzinduka kumeshakucha, huyu mwana naye ndio hivyo amechelewa kuoa, binafsi nimemwambia awe makini tu kwenye suala la kuoa asee. Siwezi kumwamlia yupi amchukue yupi amwache. Inawezekana huyu wa 36 akawa chaguo sahihi labda kwa kuwa starehe zote anazijua so kaamua kuacha starehe kakumbuka kuishi na mme!
 
Unasema? Ongeza sauti kidogo naona wa mbele wananiziba nimekaa nyuma huku, sioni kabisa mbele na sauti ipo chini sana
 
Hii ni point kubwa sana. Kwa huyu namfahamu alizaa akiwa na 16 tu, baada ya hapo nadhan kafanya vi abortion kadhaa wakati wa kuchezea ujana wake. Kazi ipo hapo!
 
Kama ni single maza hapa Jamaa analamba galasa labda kama Anataka kulelewaa...!!
 
Fuata moyo wako, ila usiache akili zako nyuma... Usiache mbachao kwa msala upitao...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…