Acha Waisome Namba, CCM Mbele kwa Mbele

Acha Waisome Namba, CCM Mbele kwa Mbele

DSN

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
2,837
Reaction score
1,686
Ukiwa Mpenda Haki Daima Ufisadi, Dhuruma, Ushirikina, Wizi, Utaperi, Uongo, Uzinzi, Unafiki vitakuwa si sehemu ya mawazo yako bali Ukweli, Uadilifu na hofu ya Mungu na kutenda mema kwa wenzio na Taifa lako itakuwa ni sehemu ya maisha yako...Nitasema kweli Daima fitina kwangu mwiko...Nashiriki siasa kwa kuwa ni haki yangu...

Muda ukifika itabidi tena Serikali ianze kuwasaidia kuweka uliznai kwa walio kuwa wakionekana kuwa ndio wakombozi... stay tuned kwa wasio jifunza kwa kusikia bali wanajifunza kwa kuona....ukiona picha nayo ukishindwa kusoma usilaumu UPOFU WAKO...

Nimevutika na wimbo huuu.....chini toka kwa Betlehem


Acha waisome namba eeh! ccm mbele kwa mbeleeee! waache waandamane eeeh! CCM mbele kwa mbeleeee!Uhuni wa kisiasa sasa umefika mwisho, ama kweli haki haichangamani na batili na kwa kawaida haki ikisimama batili hujitenga! Sasa ni kazi tu!

cc. MwanaDiwani The Boss Pasco Mkandara Nguruvi3 Mchambuzi JokaKuu Kiranga Lizaboni ZeMarcopolo na ndugu yangu chama ambaye tumepoteana kwa muda.
 
Hii ni kitu gani humu
Watanzania walihitaji maisha bora sio nyimbo.
 
Kutushirikisha upuuzi wa CCM mwanzo wa siku huku kwetu ni tusi la nguoni. Nakusihi acha matusi kwa mara ya mwisho.
Unamtisha nani kwa faida ya nani, wakati JF ni jukwaa huru kwa Mtanzania yeyote yule kushare feelings zake pasipo kuingilia uhuru wa mwingine kwa muktadha wa kuvunja katiba ya Nchi...Hivi lini CCM ikawa ni kitu kinchozungumzika kwa raia mwingine kama Tusi la kikatiba au la kuvunja sheria ni binadamu mwenye Upumbavu na Ulofa pekee ndiye anae weza tamka kuzungumza ama kufanya majadiliano na wenzie kuhusu CCM kwao ni tusi la nguoni..tena nia aibu mtu yuko kwenye jukwaa la Siasa ama Uchaguzi kutoa michango yenye sura ya kuwatisha wengine eti nakusihi wewe nani JF...Modertors watwambie kama account zetu humu kuwemo JF zimekuwa jukwaa la watu maalumu ambao wakiskia mtu anaizungumzia CCM kwao ni matusi basi tujue kuwa sie wengine kama raia wa Tanzania na JF ni Jukwa la Watanzania tunabaguliwa kushare na kuexpress mawazo yetu kwa faida ya Taifa letu...

Moderators ...nitakomaa na sentensi hii mpaka na kitaeleweka....nijue kujadilia CCM kama ni kosa JF...
 
Ukiwa Mpenda Haki Daima Ufisadi, Dhuruma, Ushirikina, Wizi, Utaperi, Uongo, Uzinzi, Unafiki vitakuwa si sehemu ya mawazo yako bali Ukweli, Uadilifu na hofu ya Mungu na kutenda mema kwa wenzio na Taifa lako itakuwa ni sehemu ya maisha yako...Nitasema kweli Daima fitina kwangu mwiko...Nashiriki siasa kwa kuwa ni haki yangu...

Muda ukifika itabidi tena Serikali ianze kuwasaidia kuweka uliznai kwa walio kuwa wakionekana kuwa ndio wakombozi... stay tuned kwa wasio jifunza kwa kusikia bali wanajifunza kwa kuona....ukiona picha nayo ukishindwa kusoma usilaumu UPOFU WAKO...

Nimevutika na wimbo huuu.....chini toka kwa Betlehem

Ukiongelea kuhusu wizi,ufisadi,rushwa,nk nk hivi mwizi ndani ya CCM alikuwa Lowassa tu??Nani muhusika mkuu kwenye ESCROW account je ni Lowassa??

Hivi kwa sasa kwanini iwe RICHMOND na Lowassa kwanini iwe case ya 2008 na si ESCROW ya 2014/2015??

Nikujumuisha yote ninawaza kwa sauti kuna jambo ambalo watanzania hatulijui liko chini ya pazia??

Kama ile conference mwenyeji au muuandaji ni CCM na serikali sipati jibu lililo sahihi??

Hivi kashfa hiziza Richmond kwanini ziwe sasa na si 2008?Kwanini hakwenda kushtakiwa au kwa sababu amecross border???

Mwisho wa siku kama ningekuwa Tume ya uchaguzi ningefanya moja kubwa,kupiga stop midahalo yote inayoshambulia kwa sababu ya kuchafua wengine,ili kweli KAMPENI na UCHAGUZI uwe huru na haki.

Tumeshuhudia na kusikia Samia Suluhu akionya watu kutochagua wapinzania sababu hawatapata misaada serikalini,Tume imenyamaza,tumeshuhudiahata Magufuli akionya watu kwamba MABADILIKO yataleta vita kama Libya na China,najiuliza uhuru wa vyama vya upinzani uko wapi???

Wengi tunaojiuliza haya,tumeamua kwa dhati liwe jua au mvua tutaipigia kura kambi ya upinzani.
 
Naona kama vile umelala unaota ndoto au ni mzuka uliyoibuka kutoka kaburini,hujui hata kinachoendelea tanzania ndiyo maana unaropoka tu hovyio,watanzania wa sasa hivi wanaelewa ni kitu gani kinachowasababisha maisha magumu kwa kutuletea ngonjera zilezile za kila siku,maisha hata huduma muhimu kama vile hospitali,shuleni walimu wanalalamika kukosa haki zao,wanafunzi wanakosa mikopo,wafanyakazi wanalalamika maslahi duni ya mshahara,polisi wanaishi nyumba zisizo nzuri na kuridhisha,wakuliama wanakopwa mazao yao hela hawapewi kwa wakati na serikali ya ccm,uchumi unadorora,kila kukicha shilingi inashuka thamani,viwanda vimekufa,serikali imeua reli,hakuna hata ndege hata moja ya tanzania,kila kitu kununua kutoka nje,mikataba mibovu ya rasimali zetu,kila,kitu ni shida halafu unasema CCM itashinda asilimia 85,hakuna mtanzania mjinga sasa hivi,wa kuchagua ccm kama unavyofikiri
 
Ushindi wenye justification.
Kama ni msomi kuna masomo uliyapitia ukiyatumia unaweza kuwa na sura ya projection ya outcome ya mtizamo wa mambo mengi yanayokuzunguka katika maisha yako ikiwemo kujua ukifika wakati wa kuoa utaoa mwanamke wa Haiba gani, Umri gani na hata rangi gani inayokuvutia ...ukurupuki kusema naoa kwa mshawasha wa marafiki, au familia.

Justification ni muhimu uwezi kusema unajifanyia mambo ovyo ovyo leo ulikuwA na plan A kwa miaka minane [8] ghafra umefika mwaka wa saba [7] na miezi tisa kufika kwenye hatima ya Plana A yako uone Outcome yake ghafra unachange ghafra na kuingia Plan B kwa outcome results inayojengwa kwa miezi mitatu [3] haaa haaa tegemea matokeo mepesi usishangae kuona matokeo yasiyo na tija kwa kuwa Long Plan uzaa matokeo imara yenye sura ya tiba ya muda mlefu na Plan ya muda mfupi uzaa matokeo ya muda mfupi na pengine yasiwepo matokeo kabisa na kuonekana kama TRY AND ERROR PROJECT...yani MRADI WA JARIBU NA UKOSE!!!!
 
Jipe matumaini tu lakini subiri oktoba 25 utaona namna gani mabadiliko yanavyokuja kwa amani
Ukiwa Mpenda Haki Daima Ufisadi, Dhuruma, Ushirikina, Wizi, Utaperi, Uongo, Uzinzi, Unafiki vitakuwa si sehemu ya mawazo yako bali Ukweli, Uadilifu na hofu ya Mungu na kutenda mema kwa wenzio na Taifa lako itakuwa ni sehemu ya maisha yako...Nitasema kweli Daima fitina kwangu mwiko...Nashiriki siasa kwa kuwa ni haki yangu...

Muda ukifika itabidi tena Serikali ianze kuwasaidia kuweka uliznai kwa walio kuwa wakionekana kuwa ndio wakombozi... stay tuned kwa wasio jifunza kwa kusikia bali wanajifunza kwa kuona....ukiona picha nayo ukishindwa kusoma usilaumu UPOFU WAKO...

Nimevutika na wimbo huuu.....chini toka kwa Betlehem
 
Unamtisha nani kwa faida ya nani, wakati JF ni jukwaa huru kwa Mtanzania yeyote yule kushare feelings zake pasipo kuingilia uhuru wa mwingine kwa muktadha wa kuvunja katiba ya Nchi...Hivi lini CCM ikawa ni kitu kinchozungumzika kwa raia mwingine kama Tusi la kikatiba au la kuvunja sheria ni binadamu mwenye Upumbavu na Ulofa pekee ndiye anae weza tamka kuzungumza ama kufanya majadiliano na wenzie kuhusu CCM kwao ni tusi la nguoni..tena nia aibu mtu yuko kwenye jukwaa la Siasa ama Uchaguzi kutoa michango yenye sura ya kuwatisha wengine eti nakusihi wewe nani JF...Modertors watwambie kama account zetu humu kuwemo JF zimekuwa jukwaa la watu maalumu ambao wakiskia mtu anaizungumzia CCM kwao ni matusi basi tujue kuwa sie wengine kama raia wa Tanzania na JF ni Jukwa la Watanzania tunabaguliwa kushare na kuexpress mawazo yetu kwa faida ya Taifa letu...

Moderators ...nitakomaa na sentensi hii mpaka na kitaeleweka....nijue kujadilia CCM kama ni kosa JF...

Usishirikishe moderators njoo pm nikuambie nilipo ila usituletee msongo wa mawazo na mkoloni mweusi kwa nyimbo za kutukumbusha machungu. Unamtisha nani kama akina Masha hadi wamewekwa ndani.........
 
Unamtisha nani kwa faida ya nani, wakati JF ni jukwaa huru kwa Mtanzania yeyote yule kushare feelings zake pasipo kuingilia uhuru wa mwingine kwa muktadha wa kuvunja katiba ya Nchi...Hivi lini CCM ikawa ni kitu kinchozungumzika kwa raia mwingine kama Tusi la kikatiba au la kuvunja sheria ni binadamu mwenye Upumbavu na Ulofa pekee ndiye anae weza tamka kuzungumza ama kufanya majadiliano na wenzie kuhusu CCM kwao ni tusi la nguoni..tena nia aibu mtu yuko kwenye jukwaa la Siasa ama Uchaguzi kutoa michango yenye sura ya kuwatisha wengine eti nakusihi wewe nani JF...Modertors watwambie kama account zetu humu kuwemo JF zimekuwa jukwaa la watu maalumu ambao wakiskia mtu anaizungumzia CCM kwao ni matusi basi tujue kuwa sie wengine kama raia wa Tanzania na JF ni Jukwa la Watanzania tunabaguliwa kushare na kuexpress mawazo yetu kwa faida ya Taifa letu...

Moderators ...nitakomaa na sentensi hii mpaka na kitaeleweka....nijue kujadilia CCM kama ni kosa JF...

Hivi Lofa ni mtu wa namna gani?
 
Usishirikishe moderators njoo pm nikuambie nilipo ila usituletee msongo wa mawazo na mkoloni mweusi kwa nyimbo za kutukumbusha machungu. Unamtisha nani kama akina Masha hadi wamewekwa ndani.........
Mgonjwa wakati mwingine ajitambui mpaka wengine wamwambie mgonjwa..unaniita PM wakati mada yangu ni where we Dare !!!Sema huko wapi niku PM iliweje kwa faida ya nani..wakati mjadala wangu ni huru..ningekuwa na shida na wewe ningekufuata PM nikaaanzisha mada hiina wewe kama una nihusu...sina cha kujadiliana na wenye mapungufu ya hoja ukimbilia kujitanabaisha na aina fulani ya mambo NAKUPUUZA...
 
Mgonjwa wakati mwingine ajitambui mpaka wengine wamwambie mgonjwa..unaniita PM wakati mada yangu ni where we Dare !!!Sema huko wapi niku PM iliweje kwa faida ya nani..wakati mjadala wangu ni huru..ningekuwa na shida na wewe ningekufuata PM nikaaanzisha mada hiina wewe kama una nihusu...sina cha kujadiliana na wenye mapungufu ya hoja ukimbilia kujitanabaisha na aina fulani ya mambo NAKUPUUZA...

Nimekwambia hizo nyimbo peleka Lumumba sio hapa JF.
 
Back
Top Bottom