ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Habari zenu marafiki zangu
Leo mabest zangu nimekuja na somo hili KUWAFUNDA
hususani WANAWAKE WOTE haijalishi una miaka 18 -50
au wewe ni mzee,pokea ili somo ambalo najua atakayeitii
atafaidika na kutoka na kitu hapa.
Marafiki zangu hasa Wanawake wa mjengoni humu acha
leo nitoe somo au mwongozo wa jinsi ya kuishi na jamii au
familia yako hapo home kwako, Kuna WANAWAKE wengine jamani
sio wastaarabu kabisa tena wanashangaza sana kwa mkao wao.
Wewe mwanamke umeamka asubuhi badala ya kuanza usafi
wa nyumba unakwenda mtaa wa saba kupiga umbea hiyo ni
asubuhi. Je ikifika mchana itakuwaje? si inashangaza jamani!
tena inaaibisha kabisa kwenye familia yako hasa mumeo!
Sasa itokee mgeni anakujia asubuhi hiyo na wewe hauko kwako
itakuwaje? ile kujongea tu anaona mainzi, mlundikano wa uchafu
wa jana uko juu mezani, yaani ni aibu tena fedheha kwa familia
yako, huoni kuwa unasababisha magonjwa kwenye familia yako?
unafikiri kipindupindua kinatokeaje?
Sasa kuna wengine ni WAVIVU hasirani/ WACHAFU yaani hata yeye
mwenyewe ajijali, nguo anavaa wiki nzima mikojo, maziwa ya mtoto
yaliyoangukia humo,yani full uchafu na kunuka hovyo, SASA
unafikiri mwenzio akirudi home apate wapi kumbatio wakati wewe
mwenyewe ujijali unanuka, unafikiri kuna mapenzi hapo. lazima
atatoka tu nje ya ndoa kwani hata akikwambia ubadilike usikiii
masikio umetia pamba yaani unaona ni kawaida tu na uko vizuri.
Mwenzenu nimeona niwape kidogo mwongozo huu leo.
Samahani kwa yule atakayejisikia vibaya, atakayekwazika.
ila message send
Jamani WANAWAKE tubadilike tuwe wasafi kwenye familia zetu
kwani afya bora upatikana kwenye usafi wako wewe mwenyewe na
familia yako kwa ujumla, bila wewe mwanamke kuchukua hatua ya
ziada kwenye usafi basi utabomoa familia na ndoa yako kwa ujumla.
MWANAMKE NI KIOO CHA FAMILIA NA NI PAMBO LA MUMEWE. HIVYO
JIPENDE, KUWA MSAFI, JIHESHIMU NA STAHI FAMILIA YAKO KWA USAFI
NAWATAKIA MAFIKINIKIO KATIKA SHUGHULI ZENU. NAWAPENDA
Special cc kwa madada:
Copy: Mamndenyi, Zion Daughter, Heaven on earth, Passion Lady, @fp, sweetlady, FirstLady, Lady doctor, Lady Unbreakable, Preta, marejesho Mwali, Smile, amu, cacico, gfsonwin, snowhite, Kaunga, Nivea Madame B, madame A, madame x, The secretary, Paloma na wengine
niliowasahau majina yao wasijisikie vibaya watwange hapo.
Kwa upendeleo kidogo:
Copy: Arushaone, Filipo, Ruttashobolwa, Mtambuzi, Bishanga, kabanga, Erickb52, Mr Rocky, Elli, stevoh, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, watu8, Bujibuji, Nicas Mtei, Mentor, Mwita Maranya, @Mgeda, Asprin, figganigga mathematics, The hammer, nitonye, Dio, @Blocy City, Donn na wengineo
wengi wa marafiki zangu jongeeni hapa. Nanyi semeni ya moyoni mwenu.
Leo mabest zangu nimekuja na somo hili KUWAFUNDA
hususani WANAWAKE WOTE haijalishi una miaka 18 -50
au wewe ni mzee,pokea ili somo ambalo najua atakayeitii
atafaidika na kutoka na kitu hapa.
Marafiki zangu hasa Wanawake wa mjengoni humu acha
leo nitoe somo au mwongozo wa jinsi ya kuishi na jamii au
familia yako hapo home kwako, Kuna WANAWAKE wengine jamani
sio wastaarabu kabisa tena wanashangaza sana kwa mkao wao.
Wewe mwanamke umeamka asubuhi badala ya kuanza usafi
wa nyumba unakwenda mtaa wa saba kupiga umbea hiyo ni
asubuhi. Je ikifika mchana itakuwaje? si inashangaza jamani!
tena inaaibisha kabisa kwenye familia yako hasa mumeo!
Sasa itokee mgeni anakujia asubuhi hiyo na wewe hauko kwako
itakuwaje? ile kujongea tu anaona mainzi, mlundikano wa uchafu
wa jana uko juu mezani, yaani ni aibu tena fedheha kwa familia
yako, huoni kuwa unasababisha magonjwa kwenye familia yako?
unafikiri kipindupindua kinatokeaje?
Sasa kuna wengine ni WAVIVU hasirani/ WACHAFU yaani hata yeye
mwenyewe ajijali, nguo anavaa wiki nzima mikojo, maziwa ya mtoto
yaliyoangukia humo,yani full uchafu na kunuka hovyo, SASA
unafikiri mwenzio akirudi home apate wapi kumbatio wakati wewe
mwenyewe ujijali unanuka, unafikiri kuna mapenzi hapo. lazima
atatoka tu nje ya ndoa kwani hata akikwambia ubadilike usikiii
masikio umetia pamba yaani unaona ni kawaida tu na uko vizuri.
Mwenzenu nimeona niwape kidogo mwongozo huu leo.
Samahani kwa yule atakayejisikia vibaya, atakayekwazika.
ila message send
Jamani WANAWAKE tubadilike tuwe wasafi kwenye familia zetu
kwani afya bora upatikana kwenye usafi wako wewe mwenyewe na
familia yako kwa ujumla, bila wewe mwanamke kuchukua hatua ya
ziada kwenye usafi basi utabomoa familia na ndoa yako kwa ujumla.
MWANAMKE NI KIOO CHA FAMILIA NA NI PAMBO LA MUMEWE. HIVYO
JIPENDE, KUWA MSAFI, JIHESHIMU NA STAHI FAMILIA YAKO KWA USAFI
NAWATAKIA MAFIKINIKIO KATIKA SHUGHULI ZENU. NAWAPENDA
Special cc kwa madada:
Copy: Mamndenyi, Zion Daughter, Heaven on earth, Passion Lady, @fp, sweetlady, FirstLady, Lady doctor, Lady Unbreakable, Preta, marejesho Mwali, Smile, amu, cacico, gfsonwin, snowhite, Kaunga, Nivea Madame B, madame A, madame x, The secretary, Paloma na wengine
niliowasahau majina yao wasijisikie vibaya watwange hapo.
Kwa upendeleo kidogo:
Copy: Arushaone, Filipo, Ruttashobolwa, Mtambuzi, Bishanga, kabanga, Erickb52, Mr Rocky, Elli, stevoh, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, watu8, Bujibuji, Nicas Mtei, Mentor, Mwita Maranya, @Mgeda, Asprin, figganigga mathematics, The hammer, nitonye, Dio, @Blocy City, Donn na wengineo
wengi wa marafiki zangu jongeeni hapa. Nanyi semeni ya moyoni mwenu.
Last edited by a moderator: