Watu wengi wanapenda kusheherekea mwaka mpya bila ya kujua kama unasheherekea kukaribia kwa kifo chako mana kila siku zinavyo sogea kifo ndio kinazidi kukaribia mimi kila unapo kuja mwakampya huwa na huzuni najua siku zinazidi kupungua,jamani tuwe tunahuzunika sio kufurahia sikuhizi mtuukifikisha miaka 60 shukuru mungu