Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Guys I am sorry
1.thinking hii ni globu ya wanajamii,I took it for granted. Anyway ni Tanzanias shillings zote
2.Kinyamana/BelindaJacob-duuuh mnanimaliza,mnisamehe but that is what I can afford for now for a PART TIMER.Jamani kwa kuwa mimi nina njaa na mimi natafuta accountants wenye njaa(250,000Tshs/month) after all sihitaji wenye ma CPA au ma degree jamani,sasa kuzifanyia kwa labda saa 5/wiki na labda ikawa weekend ni kidogo,lakini ni kidogo kiasi hicho?Mbona mnataka kunifanya niendelee kuchengana na TRA?
This is not a bad deal for a part timer with no degree or CPA qualification, by bongo standards .
Ukichukua wastani wa masaa 5 kwa wiki hapa tuna masaa 20, mshahara wa 12,500 kwa saa.
Kuna watu Marekani hawalipwi hivyo on an hourly basis.
Ila swali ni kweli itakuwa masaa 5 kwa wiki? Au ndiyi kuvutia watu halafu kazi zinakuwa zaidi?