ACCOUNTANCY v/s PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT.

ACCOUNTANCY v/s PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT.

Katitima

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
631
Reaction score
122
heshima kwenu wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume ambaye mwaka wa masomo uliopita alipata nafasi ya kusoma kozi ya "DIPLOMA IN ACCOUNTANCY-DA" katika TAASISI YA UHASIBU TANZANIA-(TIA) DAR ES SALAAM lakini kutokana na masuala ya kifamilia na sababu zisizoweza kuzuilika hakuweza hata kuripoti chuoni hivyo tukaandika barua ya kuomba kughairisha mwaka wakakubali.Sasa mwaka huu bwana mdogo amekuja na wazo jipya la kutaka kubadili kozi anataka kusoma "DIPLOMA IN PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT"-DPLM.

Wakuu,nikaona nisimsaidie kufanya maamuzi kabla sijaja kuomba ushauri kwa great thinkers hapa jukwaani.

NI KOZI GANI KATI YA HIZO MBILI INAWEZA KUWA NA TIJA JAPO KIDOGO KWA BWANA MDOGO ANGALAU AKIMALIZA MASOMO BILA KUJALI SUALA LA UPATIKANAJI WA MTAJI/KIANZIO ANAWEZA AKAJIFANYIA HATA VISHUGHULI VYA KUJIPATIA KIPATO KWA KUTUMIA WELEDI ATAKAOUPATA?

NAWASILISHA WAKUU.
 
Achague anachopenda ingawa kama ni kura ningepigia accountancy. Zote ni professionals zinazoishia kwenye CPA(T) kwa uhasibu na CSP kwa procurement, accountancy ina base kubwa ya ajira za kuajiriwa na kujiajiri ukifikia level ya CPA unlike procurement lakini vivyo hivyo upande wa wahitimu watu wengi sana wanasoma uhasibu na kusababisha competition kubwa zaidi pamoja na wingi wa ajira. Procurement wahitimu sio wengi sana lakini kazi ni chache kupita kiasi alafu ngumu kujiajiri.

Pia taasisi nyingi ndogo kazi za procurement zinafanya na wahasibu lakini watu wa procurement hawazibi nafasi za wahasibu,zaidi wahasibu wanafanya kazi nyingi tofauti na uhasibu kuliko wagavi wanavyoweza fanya kazi nyingi tofauti na ugavi. Kwa kuzingatia niliyoyaeleza ndio maana nimependekeza uhasibu kama familia yenu haina strong network si unaijua Tanzania ndugu yangu
 
Achague anachopenda ingawa kama ni kura ningepigia accountancy. Zote ni professionals zinazoishia kwenye CPA(T) kwa uhasibu na CSP kwa procurement, accountancy ina base kubwa ya ajira za kuajiriwa na kujiajiri ukifikia level ya CPA unlike procurement lakini vivyo hivyo upande wa wahitimu watu wengi sana wanasoma uhasibu na kusababisha competition kubwa zaidi pamoja na wingi wa ajira. Procurement wahitimu sio wengi sana lakini kazi ni chache kupita kiasi alafu ngumu kujiajiri.

Pia taasisi nyingi ndogo kazi za procurement zinafanya na wahasibu lakini watu wa procurement hawazibi nafasi za wahasibu,zaidi wahasibu wanafanya kazi nyingi tofauti na uhasibu kuliko wagavi wanavyoweza fanya kazi nyingi tofauti na ugavi. Kwa kuzingatia niliyoyaeleza ndio maana nimependekeza uhasibu kama familia yenu haina strong network si unaijua Tanzania ndugu yangu

Nadhani Katitima atakua amekupata vizuri...
 
Last edited by a moderator:
Achague anachopenda ingawa kama ni kura ningepigia accountancy. Zote ni professionals zinazoishia kwenye CPA(T) kwa uhasibu na CSP kwa procurement, accountancy ina base kubwa ya ajira za kuajiriwa na kujiajiri ukifikia level ya CPA unlike procurement lakini vivyo hivyo upande wa wahitimu watu wengi sana wanasoma uhasibu na kusababisha competition kubwa zaidi pamoja na wingi wa ajira. Procurement wahitimu sio wengi sana lakini kazi ni chache kupita kiasi alafu ngumu kujiajiri.

Pia taasisi nyingi ndogo kazi za procurement zinafanya na wahasibu lakini watu wa procurement hawazibi nafasi za wahasibu,zaidi wahasibu wanafanya kazi nyingi tofauti na uhasibu kuliko wagavi wanavyoweza fanya kazi nyingi tofauti na ugavi. Kwa kuzingatia niliyoyaeleza ndio maana nimependekeza uhasibu kama familia yenu haina strong network si unaijua Tanzania ndugu yangu

MKUU nashukuru sana kwa mchango wako wenye manufaa.sasa nakwenda kwa dogo kifua mbele kwa uhakika wa majibu ya uhakika wa afanye nini
 
heshima kwenu wakuu,

Nina mdogo wangu wa kiume ambaye mwaka wa masomo uliopita alipata nafasi ya kusoma kozi ya "DIPLOMA IN ACCOUNTANCY-DA" katika TAASISI YA UHASIBU TANZANIA-(TIA) DAR ES SALAAM lakini kutokana na masuala ya kifamilia na sababu zisizoweza kuzuilika hakuweza hata kuripoti chuoni hivyo tukaandika barua ya kuomba kughairisha mwaka wakakubali.Sasa mwaka huu bwana mdogo amekuja na wazo jipya la kutaka kubadili kozi anataka kusoma "DIPLOMA IN PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT"-DPLM.

Wakuu,nikaona nisimsaidie kufanya maamuzi kabla sijaja kuomba ushauri kwa great thinkers hapa jukwaani.

NI KOZI GANI KATI YA HIZO MBILI INAWEZA KUWA NA TIJA JAPO KIDOGO KWA BWANA MDOGO ANGALAU AKIMALIZA MASOMO BILA KUJALI SUALA LA UPATIKANAJI WA MTAJI/KIANZIO ANAWEZA AKAJIFANYIA HATA VISHUGHULI VYA KUJIPATIA KIPATO KWA KUTUMIA WELEDI ATAKAOUPATA?

NAWASILISHA WAKUU.

je mlishakaa na bwandogo akajustify nikwanini ameamua kubadili mawazo naomba majibu namie nitie neno..?
 
je mlishakaa na bwandogo akajustify nikwanini ameamua kubadili mawazo naomba majibu namie nitie neno..?

mkuu Maganga Mkweli,bwana mdogo hakuwa na sababu za msingi sana.
kwa kifupi ni kwamba hapa mtaani kuna rafiki yake ambaye anasoma DIPLOMA IN PROCUREMENT MANAGEMENT(DPM)-CBE tawi la Dodoma ndiye hasa anayemshawishi kwa kumpa vigezo alivyo navyo ikiwa ni pamoja na ugumu wa kozi ya UHASIBU na uduni wa kipato na vifurushi vingine endapo atabahatika kuajiriwa.
kiukweli ni mengi anayomlisha na ukizingatia hapati maelezo ya upande mwingine pia(yaani upande wa uhasibu).sasa mkuu nimekuja humu ili kupata ushauri wa ama asome anachoshawishiwa na rafiki yake au kile alichopatia nafasi chuoni nikiwa na maelezo ya kutosha kumjenga kisaikolojia.

karibu kwa ushauri mkuu.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Maganga Mkweli,bwana mdogo hakuwa na sababu za msingi sana.
kwa kifupi ni kwamba hapa mtaani kuna rafiki yake ambaye anasoma DIPLOMA IN PROCUREMENT MANAGEMENT(DPM)-CBE tawi la Dodoma ndiye hasa anayemshawishi kwa kumpa vigezo alivyo navyo ikiwa ni pamoja na ugumu wa kozi ya UHASIBU na uduni wa kipato na vifurushi vingine endapo atabahatika kuajiriwa.
kiukweli ni mengi anayomlisha na ukizingatia hapati maelezo ya upande mwingine pia(yaani upande wa uhasibu).sasa mkuu nimekuja humu ili kupata ushauri wa ama asome anachoshawishiwa na rafiki yake au kile alichopatia nafasi chuoni nikiwa na maelezo ya kutosha kumjenga kisaikolojia.

karibu kwa ushauri mkuu.


binafsi naikubali procurement and supply .. mosi naona bado haijasaturate sana kwenye soko la ajira... pia naona iko flexible anaweza fanya kozi kama logistics ,procument and supply ... kwa kusema kujiajiri wa anaweza kuwa kujiari kwenye fani yeyote ile duniani ni jambo la msingi ni kujitambua
uhasibu wa ni kozi nzuri hasa ukipata CPA(T) ila naona huko watuwamekuwa wengi ingawa bado wanauhitaji..
 
binafsi naikubali procurement and supply .. Mosi naona bado haijasaturate sana kwenye soko la ajira... Pia naona iko flexible anaweza fanya kozi kama logistics ,procument and supply ... Kwa kusema kujiajiri wa anaweza kuwa kujiari kwenye fani yeyote ile duniani ni jambo la msingi ni kujitambua
uhasibu wa ni kozi nzuri hasa ukipata cpa(t) ila naona huko watuwamekuwa wengi ingawa bado wanauhitaji..

asante mkuu.
 
Accounting na procurement hazina ajira mwambie akasome diploma ya education
 
Kama anaweza kupata mtaji akajiajiri basi procurement pia ni nzuri sababu anakuwa na uwezo wa uandika tender au ujuzi wa mambo ya tender na akasajiri biashara na kuanza kuomba tender kwenye makampuni.ila si mbaya sana kama akachukua accountancy.accountancy ukipata ajira inalipa na pia inategemeana na kampuni.makampuni mengi hutumia accountants kufanya baadhi ya kazi za procurement.maana kazi za proffessional wa procurement zinahitajika zaidi kwenye makampuni makubwa.ila wahasibu popote
 
Achague anachopenda ingawa kama ni kura ningepigia accountancy. Zote ni professionals zinazoishia kwenye CPA(T) kwa uhasibu na CSP kwa procurement, accountancy ina base kubwa ya ajira za kuajiriwa na kujiajiri ukifikia level ya CPA unlike procurement lakini vivyo hivyo upande wa wahitimu watu wengi sana wanasoma uhasibu na kusababisha competition kubwa zaidi pamoja na wingi wa ajira. Procurement wahitimu sio wengi sana lakini kazi ni chache kupita kiasi alafu ngumu kujiajiri.

Pia taasisi nyingi ndogo kazi za procurement zinafanya na wahasibu lakini watu wa procurement hawazibi nafasi za wahasibu,zaidi wahasibu wanafanya kazi nyingi tofauti na uhasibu kuliko wagavi wanavyoweza fanya kazi nyingi tofauti na ugavi. Kwa kuzingatia niliyoyaeleza ndio maana nimependekeza uhasibu kama familia yenu haina strong network si unaijua Tanzania ndugu yangu

Ni ushauri mzuri
 
Uhasibu ni kufa njaa, huwa natengeneza mambo yangu na ma-supplier yakifika mwisho napeleka lpo na invoice uhasibu na kuweka ki-note 'please pay' wanakasirika sana wahasibu wanajua jamaa kashapiga hapa hela ya kutosha lakini hawawezi kuzuia kitu lazima wailipe,sanasana wanachelewesha kutengeneza cheque, kama tuna haraka tunaenda kuwatupia ka-laki wanatoa cheque faster kumbe procurement wameshavuta milioni kadhaa. Uschezee kabisa procurement. Watu wanaotetea accountancy hawajawahi kufanya kazi hizo za uhasibu waone reality wahasibu wanalia huko maofisini. Wengine wamekariri zamani accountancy ilikuwa juu sana sio siku hizi procurement wameshachukua nafasi kubwa kwenye manunuzi.
account iko safii,kwa coz iz za business studies a/c ndo baba lao inafata finance
 
Uhasibu ni kufa njaa, huwa natengeneza mambo yangu na ma-supplier yakifika mwisho napeleka lpo na invoice uhasibu na kuweka ki-note 'please pay' wanakasirika sana wahasibu wanajua jamaa kashapiga hapa hela ya kutosha lakini hawawezi kuzuia kitu lazima wailipe,sanasana wanachelewesha kutengeneza cheque, kama tuna haraka tunaenda kuwatupia ka-laki wanatoa cheque faster kumbe procurement wameshavuta milioni kadhaa. Uschezee kabisa procurement. Watu wanaotetea accountancy hawajawahi kufanya kazi hizo za uhasibu waone reality wahasibu wanalia huko maofisini. Wengine wamekariri zamani accountancy ilikuwa juu sana sio siku hizi procurement wameshachukua nafasi kubwa kwenye manunuzi.
 
Back
Top Bottom