Access Bank: kwa waliofanya Final Interview

Access Bank: kwa waliofanya Final Interview

Barraza

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2011
Posts
481
Reaction score
270
naomba kujuzwa kama kuna ambaye ameshapewa taarifa za kuajiriwa. kwa wale waliokwenda kufanya final interview kwenye Branches. Hii nafasi nikiikosa kuna uwezekano wa kufikiria kufanya ujambazi, hali inazidi kuwa ngumu na ajira hazipo na mtaji wa biashara unasumbua na motisha za kujiajiri hakuna.
 
Mlikuwa kama wangapi kwenye branch uliyopangiwa.
 
hahahaha.we are sailing under the same boat.hii kitu mwenyewe nlikuwepo mpaka ktk group interviwe ila kwa bahat mbaya cjaitwa ya branch ila kuna mshkaji wangu kafanya ya branch leo temeke anadai ni full michosho coz wanauliza maswali ya kukomoana sana.tofauti na interview za HQ.ila ndio maisha yalivyo.
 
duuuuuh!...pole yangu mi niliridhika na interview ya Msimbazi..kumbe watu wanagonga tu ma intaview zaidi!!!!......Daaaah..NCHI HI NGUMU!!!.Ndo mana wanawake wanakuwa Malaya wanaume wanawaza kwenda ulaya!
 
nilifanikiwa kufikia level ya Branch interview ila ndiyo sijajua kama majibu yameshatoka ama la. pale tulikuwa kama watu ishirini kama sikosei
 
haha mngejua iyo benk kila cku wana ajira na kila cku watu wanacha so ukiona hujaitwa usiumie moyo kabisa wala ucjutie u luz nthng kwa kukosa kaz acces! Fanyen uchunguz mtaelewa nachosema.
 
kila mlango mmoja unapofungwa tambua kuna milango zaidi ya kumi inafunguka pia, Nadhani si sehemu sahii unayotaka kwenda, nilipita kwenye hiyo bank lakini mungu alinisaidia nikaondoka.
 
many more we have to suffer
many more we have to die
dont ask me why...
Things are not the same like the way,they usd to be,i dont tell no lies...
 
Kuwa na imani na Mungu wako atajibu kilio chako, kukata tamaa ni kosa kubwa sana katka maisha
 
Back
Top Bottom