Access Bank, interview Mbeya

Access Bank, interview Mbeya

ndo hivyo bhanaa!

wana dharau na mishahara yao ya ajabu ajabu!mi walinipa kazi ambayo sikuiomba wakati nilifaulu ma interview yao yote,nikawachana live sihitaji hiyo nafasi kwani sikuomba hiyo kwani niliitwa interview kwa kazi ambayo ndio niliomba!! sasa kwa nini wanibadilishie!wana dharau sana!
 
Wakuu, naomba mnishauri, niko Pwani, nili apply access bank na nimeitwa kwenye usahili ambao unachukua siku 6 hadi 10, Mbeya.

Na kama mjuavyo gharama ziko juu.

Je nijaribu kwenda, au nisubiri next opportunity?

Kwani mkuu ulipokuwa unaomba hukusoma maelekezo yao kuwa utajigharamia kwa kila kitu?na ulikuwa unajua uko mbali na Mbeya lakini uli apply sasa mambo kama haya lazima uwe umejipanga na tofauti na hapo unakuwa unapoteza muda wako bure kukaa chini kutuma application ambazo hata ukiitwa interview huwezi attend!inatakiwa uende ki mahesabu zaidi,kwa upande wangu mi kazi ikitangazwa mbali sana na ninapoishi na nikiona uwezo wa kwenda huko sina au pesa yangu haitatosha huwaga siombi nafasi za hivyo coz naona ni kupoteza muda na pesa mana najua hata wakiniita sitakuwa na uwezo wa kwenda,ila kama poketi liko sawa huwa naaply hata post za mbali mana nakuwa na uhakika hata wakiniita ntakwenda.Hivyo nikiapply post za mbali huwa najipanga kama itatokea nikaitwa!jifunze!!
 
wana dharau na mishahara yao ya ajabu ajabu!mi walinipa kazi ambayo sikuiomba wakati nilifaulu ma interview yao yote,nikawachana live sihitaji hiyo nafasi kwani sikuomba hiyo kwani niliitwa interview kwa kazi ambayo ndio niliomba!! sasa kwa nini wanibadilishie!wana dharau sana!
Mkuu kwanza washukuru maana walikusaidia........wewe utakuwa ulitaka nafasi ya cashier alafu unaonekana kibaka wakakusaidia kukupa nafasi nyingine.....nadhani ulipaswa kushukuru
 
Hongera Ngonyani kwa kuitwa.
Kama unasehem ya kushukia namaanisha ndugu au rafiki ,na pesa ipo nenda.
Ila kama haipo. iyo gharama ni bora uweke uweni mtaji ufunguepo hata genge uuze.

Pia kama ukibahatika kwenda ni vizuri unapata experience ya interview. na kubadilisha mazingira mapya.
Jiandae kwa general question tu.
 
Hongera Ngonyani kwa kuitwa.
Kama unasehem ya kushukia namaanisha ndugu au rafiki ,na pesa ipo nenda.
Ila kama haipo. iyo gharama ni bora uweke uweni mtaji ufunguepo hata genge uuze.

Pia kama ukibahatika kwenda ni vizuri unapata experience ya interview. na kubadilisha mazingira mapya.
Jiandae kwa general question tu.

nimekusoma mama wa 2! Thanx kwa ushaurii!
 
hivi hawa access inakuwaje mbona kama cwasomi?coz wali taka tu email only cv na hadi sasa na kuwa attention kama nitaitwa lakini kimya au bado wanaendelea kuita au ndo tushawekwa pending please naomba kujua juu ya hili

hapo mkuu sijaelewaa! Lkn ulikuwa na uhakika kama email yako ilipokelewa?? Coz mi mwenyewe for the first time nilitumia email, bt ili fail due to inbox yao kuwa full, nikapeleka kwa mkono!
 
hivi hawa access inakuwaje mbona kama cwasomi?coz wali taka tu email only cv na hadi sasa na kuwa attention kama nitaitwa lakini kimya au bado wanaendelea kuita au ndo tushawekwa pending please naomba kujua juu ya hili ( tuko wengi)
 
Usiache hii bahati ipite mkuu kumbuka kuna maelfu ya watu wanamlilia Mungu mwenye Enzi usiku na mchana wapate fursa kama yako lakini bado hawajapata.Good luck
 
nenda kafanye hiyo interview hata usipopata utakuwa umepata uzoefu wa interview
 
Karibuni mbeya ............naomba kujua kwani usaili utafanyika lini na wapi apa mbeya tafadhali nijuzeni nami wakuuuuu
 
Back
Top Bottom