Karomije type no wonder Mkapa analialia eti viongozi goigoi waliokosa misimamo hawaendelezi waliyoyakuta bali wanabomoa kwa sababu wewe kihwani ni empty tin ni rahisi kusema waondokeMadini hayaozi, waondoke. Sasa tunahitaji uwekezaji kwenye techno, educ
Mtu alishasema hashauliki...yeye ni jiwe. Lissu kashauri umeona kilichompata.....Hamuitendei kabisa haki nchi yenu kwa kutukana na kukashifu hivi. Unajua hakuna kitu kibaya kama kukashifu kitu bila kutoa njia mbadala ya kutatua hilo tatizo. Kama umefuatilia vizuri historia ya nchi na kufikiri bila kuleta hisia utafahamu kwamba huu mgogoro wa kula rasilimali za nchi zetu haukuanza na Raisi Magufuli. Tangia kipindi cha Baba wa Taifa mataifa ya nje yalikuwa yanataka kutafuna nchi yetu na kutuacha sisi masikini. Hivi kwanini haya hamyaoni lakini ?
Raisi Magufuli anakosea kwenye mengi na anatakiwa kukemewa anapofanya hivyo, lakini katika hili naona wengi mnakuwa na hisia sana bila kufikiria vyema. Hivi kama wakina Raisi Mkapa na Andrew walisaini hii Mikataba Mibovu inayoumiza nchi basi na sisi tukubali tu sheria ichukue mkondo wake na nchi iendelee kuumizwa ? Kwa miaka yangu ambayo nimesoma nina uhakika kwamba haya mazungumzo hata yangefanywa na hao wakina Tundu Lissu sidhani kama yangekuwa marahisi kama ambavyo anasema.
Ukishakosea kusaini mikataba basi lazima ujue kwamba utakuwa na nafasi ndogo sana Mahakamani au kwenye Bodi ya Usuluhishi. Na huu ndiyo mzizi wa matatizo hapa nchini, huyu mzee wa watu hapa mtamchukia na kumuonea bure wakati yeye anajaribu kutibu makosa yaliyosababishwa na serikali zilizopita. Hebu muweni waungwana mazee!
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item
Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".
Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.
My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.
2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.
3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.
4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.
5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.
Paskali
Naungaje mkono serikali ya watu viburi walioshupaza shingo wanaodhani ubabe unatatuwa matatizo ya dunia serikali ijihakiki na kujisahihisha ubabe unatuadhili sote so far no labda serikali nyingine yenye adabu na wananchi hii ya magumashi they can go to hellAcacia na Barrick wao wametuibia na kula mali yetu kwa miaka 10 mfululizo wakishirikiana na watanzania wenzetu waso waaminifu.
Miaka 10 ni mingi sana yatosha.
Watanzania tusiibeze serikali kwa kila jambo, kwenye hili tuiunge mkono serikali.
napokupendeaga Pascal Mayalla ndio hapa yaani kwakweli unajua kucheza na BRO JIWE si kwamadongo haya unayompiga.. ni balllaaaa yaani akija kukuelewa unamaanisha mmmh bagosha!! onenee yangu missoWanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item
Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".
Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.
My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.
2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.
3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.
4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.
5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.
Paskali
Takwwimu zinaonyesha waekezaji wameshuka kwa contrast ya asilimia 65% miaka miwili mbele tu tulikuwa tunaongoza wamekuja viongozi wenye phd za kukamulia ndimu kila kitu dubli dubliwao wanasema hivyo kwa vile imewakuta siku ya nyani ambapo miti yote inateleza.
Mbona wawekezaji wa kutoka Ujerumani, Korea Kusini, Neatherlands, United Kingdom na kwingine wanamiminika Dodoma?
Mbiona balozi wetu Dr Slaa juzi kashuka na wawekezaji kuwaleta pale TIC?
Waache tuone wataishia wapi na kutapatapa wao.
Yaani leo hii wanaonyesha hawatambui kuwepo sharia ya Utakatishaji fedha na Deo Mwanyika walikuwa nae si wangemuuliza?
Naungaje mkono serikali ya watu viburi walioshupaza shingo wanaodhani ubabe unatatuwa matatizo ya dunia serikali ijihakiki na kujisahihisha ubabe unatuadhili sote so far no labda serikali nyingine yenye adabu na wananchi hii ya magumashi they can go to hell
Mbali na Lissu kuongea ushauri mwingine wa kitaalamu ambao mnatoa kwa Serikali kuhusiana na makinikia ni upi ? Ina maana leo tuwategemee Prof Osoro na Lissu peke yao ? Mbona mwenzenu Pascal Mayalla amejitahidi kutoa ushauri wa kitaalamu na ameonyesha uwezo wa kifikiri na kuchambua yeye peke yake kama msomi. Wewe hapo Odhiambo Cairo ushauri wako binafsi wa kitaalamu kuhusu Makinikia uko wapi ?Kwamba hatutoi suluhisho ?! Je kuna haja ya kuhangaika na makamishina kuwapereka mahakamani huku Mawaziri waliosaini mikataba wakiachwa ?!
Tena kukusaidia tu, Mikataba mikubwa yote ni ya Raisi hawa makamishna wanaisaini kwa niaba ya Raisi (On behalf of) au kama Mashahidi tu (Witnesses). Halafu hakuna anayesema CCM ni wasafi, hebu acheni hii Sensationalism na Partisan Politics ambayo inawafunga akili msiweze kufikiri vizuri. Hapa hoja siyo Magufuli hapa hoja ni nchi.Huyu Raisi ni mpitaji tu ambaye anajaribu kurekebisha baadhi ya mambo sasa kuichukia nchi yako kisa mpitaji ni ukosaji wa uungwana.Je nikuulize leo kuna kamishina anaweza akasaini mikataba na wawekezaji bila idhini ya boss ?! Hakuna.
Sasa hata mikataba ya acaccia ilikuwa mpaka boss wa wakati huo akubali. Hivyo kuwafanya watakatifu is not fair .
Unasema Lissu hafai, sawa. Lakini kumbuka wakati spika aliyepita, anawalazimisha wabunge kukaa mpaka usiku wa manane, kupitisha mswaada wa sheria ya gas na mafuta. Lissu huyu alihoji uharaka ule kwa raslimali pekee tuliobakiza kama taifa!! Lakini akina mh. akiwa ni mbunge walimbeza Lissu.
.Leo anatuambia Gas na mafuta siyo yetu!!! Anamlaumu nani?! . Ukizingatia Kikwete alikuwa amebakiza miezi miwili tu. Kwa nini walimruhusu aliburuze bunge huku muda wake ukiwa umeisha ?!
Yes, Tundu Lissu was right. But even people like former Premier Malecela, Dr Slaa, Zitto Kabwe, Mtikila and Mkapa spoke viciously against The Gas Deal. Au unataka kusema huyo Lissu hajawahi kupotosha Umma kwa maksudi ?? AU Unataka nikupe na mifano hai kabisaTunamlalamikia nani leo ?! Lissu was right
Takwwimu zinaonyesha waekezaji wameshuka kwa contrast ya asilimia 65% miaka miwili mbele tu tulikuwa tunaongoza wamekuja viongozi wenye phd za kukamulia ndimu kila kitu dubli dubli
Sensationalism over Objectivity:Hii ndiyo shida ya vijana wa kitanzania leo hii.Mtu alishasema hashauliki...yeye ni jiwe. Lissu kashauri umeona kilichompata.....
Huo uzalendo wako kaupeleke mbugani
so unakubali kwamba ulikuwa unadanganya na takwimu zako sasa kubana bana kwa context ya human rights sio kutuletea sera za kirundi rundi unavunja katiba ya nchi hata ya kimataifa wamba mtuhumiwa si mfungwa wala mwenye mamlaka sio mahakama akifuata misingi ya haki za binadamu angegain kuliko anavyopoteza tatizo washauri zake akina makonda gambo na mnyeti ndio wanaona wamepatiaNI kawaida hali hio kutokea pale unapowabana wale walokuwa wakifanya shughuli za uwekezaji bila kufuata taratibu na kuiba.
Hivyo hiyo asilimia 65 isikustue sana maana ni lazima taratibu za uwekezaji zifuate na kodi stahiki zilipwe.
kuna uwezekano mkiubwa sana wa watu wa acacia kuendelea kukamatwa na kampuni itaondoka
so unakubali kwamba ulikuwa unadanganya na takwimu zako sasa kubana bana kwa context ya human rights sio kutuletea sera za kirundi rundi unavunja katiba ya nchi hata ya kimataifa wamba mtuhumiwa si mfungwa wala mwenye mamlaka sio mahakama akifuata misingi ya haki za binadamu angegain kuliko anavyopoteza tatizo washauri zake akina makonda gambo na mnyeti ndio wanaona wamepatia
Kama nao waliingia kwenye mtego huo hawatabaki salama watakamatwa tu.Ifike mahali watz tusitumike kama chambo na wazungu.watu wajifunze kujifunze kuwa waaminifu na watiifu kwa nchi yao.mbona kwao hawafanti ujinga huo?
Mkuu lazima tujifunze kuwa wakweli.Takwwimu zinaonyesha waekezaji wameshuka kwa contrast ya asilimia 65% miaka miwili mbele tu tulikuwa tunaongoza wamekuja viongozi wenye phd za kukamulia ndimu kila kitu dubli dubli
Mkuu lazima tujifunze kuwa wakweli.
Uwekezaji nchini umeshuka sana kwasababu kuna baadhi ya sera za Magufuli kuhusiana na uwekezaji zilikuwa ni mbovu sana. Tena kibaya zaidi ni kwamba zinawathiri hata wawekezaji wa ndani kwetu ambao hawana hata hatia yoyote. Kodi zimekuwa kubwa sana lakini mzunguko wa pesa ni mdogo sana...
Lakini mbali na haya yote, hawa wawekezaji wengi wa nje walikuwa wanapiga dili na viongozi wa CCM katika kuvuruga nchi. Mbona hili liko wazi sana ndugu yangu ? Au wewe unaamini kwamba hawa Accaccia/ Barrick walikuwa hawaibi kabisa na mikataba yao??
Hivi nyie mmeona uhalifu wa Accaccia na Barrick uko kwenye Mikataba tu ?
Mbona mambo mahimu nje ya Mkataba hamyazungumzii kabisa kama Ukwepeji wa kodi (Tax Evasion), Utakatishaji wa pesa (Money Laundering) na Rushwa (Corruption) ?
Halafu kitu kingine unachokisahau ni kwamba makampuni mangapi yanafanya kazi Tanzania bila kuwa na leseni ya biashara ? Mbona yako mengi tu, sasa kwanini usema hawa maprofesa ni waongo ?
Mkataba ni makubaliano.
Kwenye lugha ya kisheria tunasema Contract is all about Sufficiency and not adequacy wakimaanisha kwamba hata kama tukakubaliana kubadilishana Kunguru wa Kariakoo na Lamborghini, kama tu wote tumeridhiana basi huo ni mkataba halali kabisa. Shida siyo kubadilishana Kunguru na Gari bali shida inakuja pale ambapo tumekubaliana kwamba uchukue Lamborghini langu moja na unipe kunguru wa Kariakoo, wewe ukaamua kuchukua Lamborghini zangu mbili kwa Kunguru moja wa Kariakoo kinyemela. Hili haliwezekani hata kidogo:
Kama nchi tuna haki kisheria "Inherent Right" ya kupitia upya hiyo mikataba na ndicho tunatakiwa kukifanya sasa hivi. Sasa mbona haya mambo yakifanyika mnaaza kuleta kelele zisizo na msingi ?
Hili la Mkapa na Andrew bila kumumunya maneno naomba nikubaliane kabisa na wewe kwamba lazima watiwe nguvuni na watoe Ushirikiano maana wao ndiyo wametuingiza kwenye hili shimo tulilopo mpaka sasa. Tena na hizo mamlaka za Serikali zilizoruhusu makampuni makubwa kufanya biashara bila kuwa na leseni ndiyo zishughulikiwe..Katika hili naona kuna kulindana na Raisi Magufuli ataopeteana sana kama ataendelea kumlinda Mkapa kisa kurudisha fadhila.