ACACIA wapinga vikali Matokeo ya Kamati ya pili ya Rais

How about one big fact that acacia has never be registered with brela??
 
Si mnaye mwanasheria nguli na mahiri kuliko wote Tanzania, Tundu Lissu? Mwazimisheni kwa Acacia awasaidie
Hivi tunajadili issue ya madini ama lisu??? Yaani hili linchi sometimes linanipa hasira na nyie bila kujua mnampa kiki tu lisu za bure..... sasa hata leo magufuli 80% ya lawama kwenye hotuba kazimalizia kwa lisu????

Yaani tunaacha kuwatolea uchungu kina chenge na yona anaanza kumdukua lisu??? Ndio maana hatuendelei sasa mkishamshughulikia lisu mtapata nni???? Madini yatakuwa hayaibiwi tena????

Pita pembeni mkuu sitaki kujiharibia mfungo kabisa
 
A slowly movement of lion does'nt mean a tiredness or weakness rather it's a calculated steps to attack a prey.

Mtasebeneka kwa muda mfupi tu...kuliwa vichwa kwa kukurupuka kupo palepale.

Hao Acacia wako walivyotudharau hata kupata usajili wa BRELA hawakuangaika. Walishatuona mazuzu na hata hapa JF bado watu wanaendelea kuwatetea! Hamuoni aibu?
 
Kwa hiyo ACACIA wanachosema ni kua hizi findings za pili wamechukua sample ya data kutoka kwenye zile za kwanza.
Hili ni kweli? Kama ni kweli kwa nini wamefanya hivyo? Makontena yapo si wangeenda wabebe tu sample nyingine yaani wafanye kila kitu from scratch? au kuna mtu anahofia makontena yatakua yameguswa?
 
Sasa hapa nani mkweli?? Serikali inataka chao ila ACACIA wanadai hawadaiwi?? Nahisi kma ICSID inanukia ili ukweli ujulikane
Serikali ikiwa hivi inapigania haki yake hata kama mkataba wameingizwa chaka, itakuwa mwanzo mzuri pia kwa sie wananchi pia kupigania haki yetu maana hata wao (serikali) hutoa fidia ndogo (kuthaminisha) kwa wananchi pindi wawekezaji wanapotaka maeneo ya uchimbaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…