yule mkalimani nasikia aliwekwa kando wazungu wasijetambua walichokuwa wanaelezwa watanganyika !!aisee wazungu wanahangaika balaa!
kila siku press release!
Hii ni dalili ya mfa maji.
magufuli amewashika pabaya sana!
Hilo la uwezo wa kujenga uwezo wa kuchenjua hatuwezi kujifanyia wenyewe?
Ni kwamba hatuna akili za kuweza kuujenga huo uwezo au?
Wao huo uwezo wao nani aliwajengea?
Nani kakwambia ugunguw hiyo thread?? Unaboa wewe unayewashwawashwaHivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.
Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
Mkuu Chige, hii thread yangu, ilitokana na thread yakoFrom Day 01 Acacia walishasema kwao not economically viable kufanya uchenjuaji nchini! By the time, tulikuwa tunasafirisha wastani wa tani 50K za mchanga!!!
Kwa shehen kama hiyo, economical investment ilikuwa USD 500M !! Tulipoleta hii hoja hapa tukaambiwa vibaraka wa Acacia na kwamba tumelipwa kuja kuwatetea!
Tulipotoa changamoto ya ni kwanini basi serikali isiyo ya vibaraka isijenge hizo smelters; hakuna aliyewahi kutoa jibu la maana zaidi ya wale wanaoingia Google na ku-Google Copper Concentrates Smelters bila kufahamu not all copper concentrates smelters are the same!!!
Ukifanya Google ya bila kujua unatafuta nini hasa, ndani yake utakutana na smelters za hadi USD 25K na ndizo hizi ambazo watu wanaamini unaweza kuzitumia pale Buzwagi na Bulyanhulu wakati it's not!!!
Mkuu Pascal Mayalla, kuna thread yako ya majuzi bado sijapata muda wa kuitafakari lakini ulitaja kuhusu smelters moja somewhere in US! Unaweza kunipa link au enough info kuhusu hiyo smelter niangalie kama ndiyo hasa tunayohitaji?! Manake kama ni yenyewe basi itafaa sana kwa sababu mgodi mmoja wapo unaozalisha makinikia unafungwa soon na kwahiyo capacity itafaa!!!
However, it's not all about capacity but economic viability of a given smelter!!!
Mkuu Samaritan, lugha ni tatizo, ndio aana hata mtoa mada hii ameshindwa kutafsiri, walichosema ni kwanza wamekubali, lakini kwenye kulipa hizo milioni 300, they don't have the capacity to pay upfront, jamaa akasema ili hizo pesa zipatikane, kwanza ni lazima zile conteiners zitoke, ziuzwe, wadungulize ndipo walipe. Hivyo suala sio kulipa bali ni terms of payments na amounts, ila zitalipwa.Pascal Mayalla hapo wamesema wanalipa ila kwa kuzingatia utaratibu utakaowekwa chini ya hiyo kampuni mpya na kuzingatia terms watakazokubaliana. Hapo kwenye hizo terms za ulipwaji wa hizo USD 300 M bado napo kuna kitendawili.
Mkuu mchanga kuondoka kwa muda huu lazima uondoke. Kuhusu kuibiwa si kama ilivyokuwa kabla ya makubaliano na itakuwa kwa kupenda kwetu au kujiibia wenyewe. Sasa hivi kwenye mchanga wao chao ni dhahabu tu madini mengine ni yetu hivyo kujua yamo lazima tuyapime na tuyafuate huko wanakotoa dhahabu na sisi kutoa ya kwetu. Pia dhahabu ya ndani ya mchanga imo kwenye hesabu ya mgaona malipo mengine. Muhimu ni kuwapo kwa watanzania waaminifu wa kusimamia michakato yote. Kwenye muhutasari wa Prof Kabudi haya maelezo yamo je hukuyasikia? Au umeyasikia isipokuwa hujayatia maanani na kuona kama ni porojo tu. Ungeyatia maanani mashaka yako yangelenga humo.Mkuu Bams kwanza asante sana kwa hii kitu especially the voice note ila naomba nikurekebishe kidogo, hiyo hesabu ya vat receivable has nothing to do na ile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, wamesama cash hiyo ya kulipa kwa mara moja ndio hawana, ila kidogo kidogo, watalipa.
My Take.
- In principle, Acacia wamezikubali hoja zote za makubaliano ya serikali na Barrick.
- Itaundwa kampuni mpya ambayo serikali itakuwa na 16% shares na mgowanyo wa 50/50 ni kwenye economic benefits and not on profits.
- Watalipa hiyo dola milioni 300 ila sio upfront but in instalments kwa sababu hawana hiyo cash
- Lengo ya yote haya ni mchanga wa dhahabu uruhusiwe kuondoka.
The borne of contention ni tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo kwenye ule mchanga. Kama kufuatia ahadi ya kishika uchumba hiki tutaruhusu mchanga uondoke tena bila kujua kilichomo, kiukweli Tanzania tutakuwa ni nchi ya ajabu sana!.
Kwenye press conference hiyo ya 30 minutes hakuna popote wamezungumzia kutujengea uwezo kuchenjua na kwenye makubaliano hayo hakuna lolote kuhusu uchenjuaji hivyo it's official mchanga utaondoka!. Swali la kujiuliza ni tuliuzuia mchanga ule ili kupata nini?. Nilidhani tuliuzuia ili kujua kilichomo!. Na hiki kishika uchumba ni cha nini?, sio kisika uchumba ili mwali wetu aondoke bila kulipiwa mahari?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Acha kuweweseka soma kwanzaaisee wazungu wanahangaika balaa!
kila siku press release!
Hii ni dalili ya mfa maji.
magufuli amewashika pabaya sana!
Following the Agreement made between Barrick and the Government of Tanzania, Acacia Management in its yesterday briefing, clarified few items. Below is the summary:
Kwa maelezo ya Acacia, ni kuwa upo uwezekano wa kufikia maafikiano ya dola milioni 175 wanazoidai serikali kuwa sehemu ya malipo ya dola milion 300. Kama hilo likikubalika ina maana cash tutakayoisubiria itakuwa dola milioni 125.
- The Agreement is in principle framework between Barrick and the government of Tanzania
- A few elements of it will involve formation of a Tanzanian operating company
- Economic benefits from this company will be shared 50/50 which includes the 16% government free carried shares
- Acacia to make a payment of of 300m dollars. Terms of the payments will be reviewed by the working groups
- Those working groups will also review the conditions for the lifting of the concentrates export ban
- It is frustrating for every one
- Cash position continue to fall with net cash $24m
- Total VAT receivable now stands at $175m
- Acacia is a UK PLC company, will require presence in London
- Barrick are aware of our balance sheets
Unanjaa kiasi hiki kumbe?Hivi hakuna habari zingine za watu kuongiza pesa mkawa mnazirusha humu kuliko haya ya kampuni hiyo kila sekunde.. maana mnaboa sasa.
Kuna mengi mnaweza kuelimishana na watu nchini wakaanza kupata pesa ndefu na kuongea kama hao mnawaongelea kama vile nyie bado watumwa wa hao watu...
Acha kuweweseka soma kwanza
Mnatuumiza vichwa hatuwezi kupanga bajeti hivi .
Kutoka NOAH@ hadi m300$ sasa mnatuletea hii habari eti m125$ baada ya VAT
😕 😕 😕
Unanjaa kiasi hiki kumbe?
Tooobaaa yaani tumeshushwa kutoka 450 trillion?Following the Agreement made between Barrick and the Government of Tanzania, Acacia Management in its yesterday briefing, clarified few items. Below is the summary:
Kwa maelezo ya Acacia, ni kuwa upo uwezekano wa kufikia maafikiano ya dola milioni 175 wanazoidai serikali kuwa sehemu ya malipo ya dola milion 300. Kama hilo likikubalika ina maana cash tutakayoisubiria itakuwa dola milioni 125.
- The Agreement is in principle framework between Barrick and the government of Tanzania
- A few elements of it will involve formation of a Tanzanian operating company
- Economic benefits from this company will be shared 50/50 which includes the 16% government free carried shares
- Acacia to make a payment of of 300m dollars. Terms of the payments will be reviewed by the working groups
- Those working groups will also review the conditions for the lifting of the concentrates export ban
- It is frustrating for every one
- Cash position continue to fall with net cash $24m
- Total VAT receivable now stands at $175m
- Acacia is a UK PLC company, will require presence in London
- Barrick are aware of our balance sheets
Ikizingatiwa kuwa ni mtumbaKwa ukokotoaji huu bombadia yetu itaozea gereji!