ACACIA njia panda, yahaha kuficha ukweli wa uendeshaji wake

ACACIA njia panda, yahaha kuficha ukweli wa uendeshaji wake

Mabeberu ni wa kudeal nao kwa tahadhari, Wakifukuzwa, wanafungua kesi halafu majaji ni weupe wenzao. Wanasubiri wafukuzwe na vipengelevya serikali kukiuka mkataba wanavijua , lazima tutawalipa . ni ukweli mchungu tuombe uhai tutaona .Mzungu hajashindwa na MTU mweusi tangu agundue baruti. Akikosa kipengele cha kisheria atakubana kwa hujuma ya kijeshi. Tuwe na tahadhari ya kukomboa bombardier yasijirudie. Hakuna mtu anaeshabikia mabeberu lakini ni vyema tukafanya mambo kwa tahadhari kubwa. Ya nini kulipa fidia kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Kobe zinaweza zisikuelewe lkn upo sahihi
Wanasiasa wa upinzani wanapaswa wawe wanasimama na serekali ili kutetea maslahi ya nchi yao na sio kusaidiana na mabeberu

Jiwe alikuwa amejikamatia zake mabeberu lkn Kobe moja ikajifanya inajua saana sheria

All in all sikubaliani na kupigwa risasi kwa wanasiasa Tanzania pia msaliti kinachomstahili ni navichok aise

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Hawata kuelewa kabisa kuna majuha yali saini hiii mikataba tata ndio waliyo tufikisha huko kwa kobe wazee wa ndioo majinga kabisa inaona yapo kwa ajili ya chakula chao na wanao tu!
 
Japo habari ni ndefu lkn mleta habari yupo upande mmoja sana wa serikali...wale Acacia walifile case ktk arbitration court London lkn wakasimama kupisha mazungumzo hasa baada ya watendaji wake wakuu kuwekwa ndani kwa kukwepa kodi na money laundering charges...case ambazo zipo kisiasa zaidi...ninaona hujabalance habari...mm nimehighlight ili uibalance...haitusaidii kuficha ukweli ambao hata waziri wa sheria aliukubali...
ACACIA bado wanapewa matumaini na baadhi ya Watanzani, wengine wao wakiwa wanatibu majeraha, kuwa watashinda kesi pindi wakiishtaki serikali. Wanaambiwa kuwa watatetewa na hao Watanzania kwa kutumia udhaifu wa wanasheria wa serikali ya TZ na hivyo serikali itawalipa fidia kubwa kuliko hasara wanazopata sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani vp kuhusu zile gari mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom