inawezekana au yaweza kuwa kupitia màzungumzo yanayoendelea tumeishiwa pumzi,sasa wanatumià hiyo fursa kupata mshikoTaarifa ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa TLS imeeleza kwamba kampuni kubwa ya Uchimbaji Madini, Acacia imetoa notisi ya kuishitaki Tanzania kwa lengo la kudai fidia ya hasara iliyotokana na zuio la Makanikia, kiasi cha takribani Trilioni 5 za kitanzania.
Acacia ni kampuni inayomilikiwa kwa zaidi ya asilimia 65 na kampuni ya Barrick Gold Cooperation na hivyo kuwa mwanahisa mwenye nguvu kubwa zaidi ya kimaamuzi katika uendeshaji wa kampuni.
Pia Barrick ndio wahusika katika majadiliano yanayoendelea, nadhani ni Kutokana na hoja kwamba yeye ndio anabeba dhamana kubwa zaidi ya uendeshaji wa Acacia.
Kwa dhana hiyo ya kimaamuzi ni wazi kabisa hatua yeyote inayochukukiwa na Acacia bila shaka imepata baraka za Barrick, ambapo notisi hii ya kuanza kudai fidia imetolewa katikati ya ukimya mkubwa uliotawala katika majadiliano Kuhusu Makinikia.
Je hii Inaweza kuwa ndio ishara ya kuvunjika kwa majadiliano??.
Acha uzombi wa Lumumba mnatuulia nchi yetu malofa nyieTuwekee hiyo notice !
Muulize POMBE kwann anapenda kukurupukaSASA HAWA ACACIA, KABLA YA KUCLAIM WATATHMIN KWANZA GDP YETU, TRILION 5 TUTAZTOA WAPI?
Mtaje mwingine kutoka Lumumba aliyeboraHilo ndo tatizo ......wanadhani TL ndo mwana sheria bora kuliko wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasheria inao ila why huwa wanashindwa kesi,juzi MASAMAKI amewabwaga,aliyekuwa MKURUGEBZI WA TANESCO amewashinda,hao wanasheroa wanashindaga kes zipi?Wachawi na wapiga ramli mwaka huu wana kazi kubwa kweli.
Tatizo la mwanasheria wa Chadema anafikiri nchi haina wanasheria, kasoma yeye peke yake, anadharau mpaka walimu wake,
Kuliko waliosain MIKATABA?Kwenye hili la ACACIA naona LISU ana maslahi
Wa mwisho ndio mshindiNasisi tutawashitaki
Haya ndiyo majibu ninayotamani kuyasikia!Bombadier imekamatwa au haijakamatwa? Tutalipwa makinikia yetu au hatulipwi?
Wachawi na wapiga ramli mwaka huu wana kazi kubwa kweli.
Tatizo la mwanasheria wa Chadema anafikiri nchi haina wanasheria, kasoma yeye peke yake, anadharau mpaka walimu wake,
Kawadharau Ki Vp? Hivi Yule Anaewaita Watanzania Ni Wapumbavu Na Malofa Yeye Halidharau Taifa? Nafikir Ingekuwa Bora Uje Na Hoja Ya Kupinga Kuonesha Jamaa Ni Muongo Kuliko Kuja Na Lawama.
Wanasheria inao ila why huwa wanashindwa kesi,juzi MASAMAKI amewabwaga,aliyekuwa MKURUGEBZI WA TANESCO amewashinda,hao wanasheroa wanashindaga kes zipi?
May Allah bless Me and You
mkuu, sijakusikia vizuri....unasema walimu?
nilipoingia UDSM miaka hiyo, kwenye intake hiyo hiyo nikakutana na ticha wangu wa O level. huyo ticha ali-disco first year. mimi denti wake nilipiga hadi miaka yote na upper second yangu juu!
nikagundua kitu...kumbe maticha wanaweza kuwa vilaza kuliko madenti wao?
embu nawe gundua kitu kati ya Lissu na waalimu wake....
Kosa lake ni lipi? Kusema anachokijua? Hao wanasheria wa Nchi hii walikuwa wapi wakati tunaweka mikataba ya unyonyaji kwa viongozi wetu wachache kulipwa kingi hizani? Lissu yeye alipigania haya miaka 20 iliyopita, leo analaumiwa kwa lipi?
Tuache unafiki!
Wachawi na wapiga ramli mwaka huu wana kazi kubwa kweli.
Tatizo la mwanasheria wa Chadema anafikiri nchi haina wanasheria, kasoma yeye peke yake, anadharau mpaka walimu wake,[/QU
Wapo ila hawapo makini au wanapuuzwa wakishauri, tusingeikingia ktk mikataba mibovu ambayo imetugharimu kama Taifa kwa miaka mingi!
Tatizo sheria Tanzania ilisomwa na watu wajinga, watu waliokuwa hawawezi hata saba mara saba ndo wengi walikimbilia kusoma sheria, wachache waliokuwa na uwezo darasani wakaamua kusoma sheria wengi wameajiliwa private sector, kwa hiyo unaweza ona serekali imebaki na wanasheria wanamna gani, failed students, kwao kushindwa ni kawaida wala hawaoni ajabu, walikuwa wanashindwa darasani mpaka kwenye kesi wanaendelea kushindwa.Wanasheria inao ila why huwa wanashindwa kesi,juzi MASAMAKI amewabwaga,aliyekuwa MKURUGEBZI WA TANESCO amewashinda,hao wanasheroa wanashindaga kes zipi?
May Allah bless Me and You
mkuu, tulia nikufafanulie....3.Mkuu hapo sikuelewi, unawezaje kupata Upper second kwa kufundishwa na Kilaza?
Kwahiyo azam tv wametoa habari ya uongo? Je ni kwamba hiyo notice haija toka?Serikali wanaidai barrick na IPO kwenye mazungumzo na barrick sasa hivi.
Haipo kwenye mazungumzo na acacia. Acacia wameporwa makinikia, issue ya makinikia IPO kwenye mdahalo kati ya serikali na mwenye mbwa, that is barrick. Usichanganywe akili na nyumbu hata siku moja, ni waongo, wezi, wanafiki.
Sasa notice imetoka au la?Hamjui kuwa lissu kapokea rushwa kwa hao watu,
Daily YUPO Na mwanasheria wao kusambaza PROPAGANDA hizo,
Pili hajui kuwa ACCACIA haiwez kushinda kesi, tatu hajui kuwa tuna taarifa zote kuanzia mgao anapata mpaka Na rafiki yake wa cuf kusomeshwa marekani? Asijichanganye habari tunazo
Hizo ni hisia zako,JF hatufanyii kazi hisia,tunafanyia kazi facts.Maslahi ya upande mwingine/upande wa wazungu.
Mie had napata shaka na wanasheria wa serikali kwakweliTatizo sheria Tanzania ilisomwa na watu wajinga, watu waliokuwa hawawezi hata saba mara saba ndo wengi walikimbilia kusoma sheria, wachache waliokuwa na uwezo darasani wakaamua kusoma sheria wengi wameajiliwa private sector, kwa hiyo unaweza ona serekali imebaki na wanasheria wanamna gani, failed students, kwao kushindwa ni kawaida wala hawaoni ajabu, walikuwa wanashindwa darasani mpaka kwenye kesi wanaendelea kushindwa.
Halafu ili tatizo la wanasheria kushindwa ndo fashion hata huku private companies wakishtakiwa na mtu binafsi yaani kampuni ni kushindwa tu, mfano mdogo ni AY vs Tigo, huko Geita Gold Mining ndo usiseme kabisa yaani wanashindwa kila siku mpaka kuna wakili alifukuzwa kwa kushindwa kesi nyingi, wanasheria wa Bongo hakuna kitu, zamani UDSM ilikuwa inasifika kutoa best lawyers in East Africa, enzi hizo ya East Africa Community, lakini sasa hivi wanasoma failed students