ACACIA kutoa notisi ya kuishitaki Tanzania na hatma ya majadiliano

inawezekana au yaweza kuwa kupitia màzungumzo yanayoendelea tumeishiwa pumzi,sasa wanatumià hiyo fursa kupata mshiko
 
Wachawi na wapiga ramli mwaka huu wana kazi kubwa kweli.

Tatizo la mwanasheria wa Chadema anafikiri nchi haina wanasheria, kasoma yeye peke yake, anadharau mpaka walimu wake,
Wanasheria inao ila why huwa wanashindwa kesi,juzi MASAMAKI amewabwaga,aliyekuwa MKURUGEBZI WA TANESCO amewashinda,hao wanasheroa wanashindaga kes zipi?

May Allah bless Me and You
 
Kwenye hili la ACACIA naona LISU ana maslahi
Kuliko waliosain MIKATABA?
Tusaidie pia tujue nani alikuwa na maslah na MV DSM,ununuzi wa bombadia usiopitia BUNGENI na dreamliner

May Allah bless Me and You
 
Wachawi na wapiga ramli mwaka huu wana kazi kubwa kweli.

Tatizo la mwanasheria wa Chadema anafikiri nchi haina wanasheria, kasoma yeye peke yake, anadharau mpaka walimu wake,

Halafu maadui wa nchi yetu sasa wanataka 'kumpepea' kisiasa eti 'MWANASIASA BORA KABISA WA AFRICA', DUH!
HEBU WAACHENI WALIOIFIA AFRICA WAPUMZIKE KWA AMANI!
 
Kawadharau Ki Vp? Hivi Yule Anaewaita Watanzania Ni Wapumbavu Na Malofa Yeye Halidharau Taifa? Nafikir Ingekuwa Bora Uje Na Hoja Ya Kupinga Kuonesha Jamaa Ni Muongo Kuliko Kuja Na Lawama.

1.Inawezekana ulofa wetu ndio unaona kuwa hajadharau?Kuitwa Lofa sio Tusi.

Wanasheria inao ila why huwa wanashindwa kesi,juzi MASAMAKI amewabwaga,aliyekuwa MKURUGEBZI WA TANESCO amewashinda,hao wanasheroa wanashindaga kes zipi?


May Allah bless Me and You

2.Hili swali alipaswa kuulizwa Lisu, Kumbuka hata JPM aliwauliza kwanini wananshindwa hata kesi za wazi kabisa.


3.Mkuu hapo sikuelewi, unawezaje kupata Upper second kwa kufundishwa na Kilaza?


4.Lissu ndio mnafiki kama alipigania miaka 20 iliyopita kitu gani kinamfanya apinge sasa? Si aungane na JPM badala kupingapinga na kuleta uchochezi wa kijinga, Tatizo anataka yeye aonekane anajua sana.
 
 
Wanasheria inao ila why huwa wanashindwa kesi,juzi MASAMAKI amewabwaga,aliyekuwa MKURUGEBZI WA TANESCO amewashinda,hao wanasheroa wanashindaga kes zipi?

May Allah bless Me and You
Tatizo sheria Tanzania ilisomwa na watu wajinga, watu waliokuwa hawawezi hata saba mara saba ndo wengi walikimbilia kusoma sheria, wachache waliokuwa na uwezo darasani wakaamua kusoma sheria wengi wameajiliwa private sector, kwa hiyo unaweza ona serekali imebaki na wanasheria wanamna gani, failed students, kwao kushindwa ni kawaida wala hawaoni ajabu, walikuwa wanashindwa darasani mpaka kwenye kesi wanaendelea kushindwa.
Halafu ili tatizo la wanasheria kushindwa ndo fashion hata huku private companies wakishtakiwa na mtu binafsi yaani kampuni ni kushindwa tu, mfano mdogo ni AY vs Tigo, huko Geita Gold Mining ndo usiseme kabisa yaani wanashindwa kila siku mpaka kuna wakili alifukuzwa kwa kushindwa kesi nyingi, wanasheria wa Bongo hakuna kitu, zamani UDSM ilikuwa inasifika kutoa best lawyers in East Africa, enzi hizo ya East Africa Community, lakini sasa hivi wanasoma failed students
 
Reactions: SDG
3.Mkuu hapo sikuelewi, unawezaje kupata Upper second kwa kufundishwa na Kilaza?
mkuu, tulia nikufafanulie....
mwalimu wangu hakuwa ki-laza bali mimi nilikuwa na akili kumzidi.
ndivyo pia ilivyo kwa prof Kabudi (mwl wa Lissu)... huyu si ki-laza isipokuwa tu ana Lissu akili zaidi yake!
 
Kwahiyo azam tv wametoa habari ya uongo? Je ni kwamba hiyo notice haija toka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa notice imetoka au la?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie had napata shaka na wanasheria wa serikali kwakweli

May Allah bless Me and You
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…