AC ya gari inanitesa sana

AC ya gari inanitesa sana

Blaszczykowski

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2022
Posts
339
Reaction score
1,163
Habari wakubwa na wadogo .
Nataka kuuliza hii hali ninayoisikia pindi inapowasha AC ndani ya dk 10 tu mwili wote unaanza kuishiwa nguvu na kuanza kuhisi kutapika pia tumbo linachefuka hii imeanza tokea nianze kutembea na boss pamoja kwa gari yake mpaka ananishangaa why nakuwa na hali kama hiyo mbaya zaidi na yeye awezi kushusha vioo .Hali inanitesa sana sijui shida nini
 
Habari wakubwa na wadogo .
Nataka kuuliza hii hali ninayoisikia pindi inapowasha AC ndani ya dk 10 tu mwili wote unaanza kuishiwa nguvu na kuanza kuhisi kutapika pia tumbo linachefuka hii imeanza tokea nianze kutembea na boss pamoja kwa gari yake mpaka ananishangaa why nakuwa na hali kama hiyo mbaya zaidi na yeye awezi kushusha vioo .Hali inanitesa sana sijui shida nini
hili hali inaishaga ukikaa na kuzoea magari ila ukiona imezidi kuna vidonge fulani hivi vidogo vya njano na blue ni kiboko yake, htatapika kamwe wala hutahisi hiyo hali
 
Habari wakubwa na wadogo .
Nataka kuuliza hii hali ninayoisikia pindi inapowasha AC ndani ya dk 10 tu mwili wote unaanza kuishiwa nguvu na kuanza kuhisi kutapika pia tumbo linachefuka hii imeanza tokea nianze kutembea na boss pamoja kwa gari yake mpaka ananishangaa why nakuwa na hali kama hiyo mbaya zaidi na yeye awezi kushusha vioo .Hali inanitesa sana sijui shida nini
Mimi inaniudhi Ile harufu yake
 
hili hali inaishaga ukikaa na kuzoea magari ila ukiona imezidi kuna vidonge fulani hivi vidogo vya njano na blue ni kiboko yake, htatapika kamwe wala hutahisi hiyo hali
Nitavitafuta
 
Weka recirculation off hafu tuone.
images (2).jpeg
 
Jaribu kucheki Mimba dada yote yanawezekana.
 
Habari wakubwa na wadogo .
Nataka kuuliza hii hali ninayoisikia pindi inapowasha AC ndani ya dk 10 tu mwili wote unaanza kuishiwa nguvu na kuanza kuhisi kutapika pia tumbo linachefuka hii imeanza tokea nianze kutembea na boss pamoja kwa gari yake mpaka ananishangaa why nakuwa na hali kama hiyo mbaya zaidi na yeye awezi kushusha vioo .Hali inanitesa sana sijui shida nini

ac iliyowekwa kwenye hiyo gari ni fake na inaweza kuuwa, kuna jamaa nae ilimtokea hivyo aliwahi kulazwa muhimbili mshauri boss wako mkabadil ac
 
pole sanaaa.
Ac ni tofauti na hewa ya kawaida ya asili. Inakuwa na hewa pungufu kiasi(Oksijeni)
So, jitahidi kuwa unakunywa maji mara kwa mara pia vaa nguo nzito.
 
Jikaze tu , Tena Kama gari Ni mpya + AC na ukute hujazoea AC, sipat picha.
Ila Hali hii inaishaga ukizoea.

Jikaze tu, yataisha. Mwili uta adopt hayo mazingira
 
Back
Top Bottom