Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Jamani naomba anayejumjua huyu kijana anisaidie. Ana cheo gani ndani ya CCM na serikali yake. Maana amekuwa akizungumza mambo mengi kuhusu CCM na baadhi ya viongozi wake hususani katika mitandao ya kijamii.
Ni mtoto wa fast jet
Ni mmiliki wa choo cha kulipia pale UbungoJamani naomba anayejumjua huyu kijana anisaidie. Ana cheo gani ndani ya CCM na serikali yake. Maana amekuwa akizungumza mambo mengi kuhusu CCM na baadhi ya viongozi wake hususani katika mitandao ya kijamii.