Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 242
Mwenye details aweke basi, .....haitoshi kusema kuwa Kibanda kakamatwa!!
yes!, extremely brazen pattern!Another flagrant example of abridgement of freedom of speech.
Another flagrant example of abridgement of freedom of speech.
Ni kweli habari nepesi mno, hata hivyo huo uchochezi kama ni zile makala za kuamsha watawala basi na tufurahi naye kufikishwa kwake mahakamani..sina uhakika watapeleka wangapi mahakani kabla ya ku-apply njia sahihi za kukabiliana na changamoto zilizoko mbele yao hasa ufisadi na umaskini uliokithiri..
Kwa staili hii, Mwanahalisi nao wajiandae.