Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 2,151
- 3,116
Bila shaka wewe umepitia mafunzo ya kijeshi na umekula viapo vingi sana vya kizarendo, kulinda Taifa, kwa ajili ya masilai maana ya nchi yetu Tanzania (Tanganyika).
Toka hadharani basi, uunganishe nguvu na wazalendo wenzio. Kama Mzee Warioba, Butiku, poleple, Tundulisu, Gwajima nk
Ukimya wako unasema wazi hauungi mkono genge la wahuni wachache .
Neno lako moja tu litakuwa njiti ya kiberiti ndani ya msitu kwa ajili ya kuleta ugombozi kutoka kwa kikundi cha wahuni HAWA wachache.
Itisha press, kwa ajili ya masilai ya Taifa na chama chako cha CCM,kimevamiwa na masokombingo.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji
Toka hadharani basi, uunganishe nguvu na wazalendo wenzio. Kama Mzee Warioba, Butiku, poleple, Tundulisu, Gwajima nk
Ukimya wako unasema wazi hauungi mkono genge la wahuni wachache .
Neno lako moja tu litakuwa njiti ya kiberiti ndani ya msitu kwa ajili ya kuleta ugombozi kutoka kwa kikundi cha wahuni HAWA wachache.
Itisha press, kwa ajili ya masilai ya Taifa na chama chako cha CCM,kimevamiwa na masokombingo.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji