I was just laughing at the irony about Mwinyi and Pope Benedict a few minutes ago. Imagine! Will we ever get the best solution to this problem?
He may be right or wrong.
Watu wanaopata ukimwi ni hao hao wa makanisani! wanaokatazwa kuvaa condom ni ao hao wa makanisani!
Hapa kuna tatizo la kuwa wakweli ktk kufuatilia what our holy booksa said!
Papa anajua kwa kiasi gani madhehebu mengi yameibaka biblia, yanafita matkwa yao nawala siyo ya Yesu wanaemuamini. Yaani all concept ya dini an madhehebu ni unafiki kama na kama tu hutfuata Yesu anasema nini, au kujaribu kuchagua nini cha kufuata na ni nini cha kutofuata. Sometime we are compromising with God's standard.
Wanaofungisha ndoa wajawazito makanisani ni hawa hawa mapadri, kunywa pombe kidogo ni hawa hawa wanatueleza.
Ikifikia kanisa litasimamia ukweli wa biblia then you have right o say that otherwise our churches are SOCIAL CLUBS ambapo watu anakubaliana wakutane jumapili kanisani, huku ni mafisadi, w,a rushwa na wanaambiwa wakifa, wataombewa na Mungu anawaondoa kutoka Pagatori! xg"£$%^&*!())! no where in bible!
How to help societies, we have lots of orphans out there, our countries are dying. YES SOLUTION IS ONLY GOD but we have to follow him ni spirit and truth! I mean truth.
Bila hivyo wapeni ushauri wa kidunia ''mwinyi' maana wasidanganyike kuwa wakiwa ktk eneo la hatari bila condom the dini inasaidia!
WAACHE DHAMBI!!! wafuate ukweli wa dini
or
wafuate dunia
kwa sababu
Kufuata dini na dunia kumeprove failure!
wa kwanza nani??
VIONGOZI WA KANISA kama mfano wa Yesu!
Kinyume na hapo
WATU WATAKUFA TU, REGARDLESS PAPA KASEMA NINI,
Mwaka 1981 kulikuwa na dini hizi, na makanisa haya, wagonjwa wa ukimwi walikuwa 3 tu.
Leo 2009 DINI ZILE ZILE wagonjwa ni mamilioni!!
Sisi tunaunafiki na Mungu anatunyosha kweli kweli!
RC hawawezi kutupa lecture ya condoms! No moral authority!
Mapadre waache kwanza kuwalawiti wototo wadogo wa kiume!
Sidhani kama upo serious.
Kama umeshindwa kusikiza anayokwambia Mola wako, utaweza kusikiliza ya Benedict wa 16? Ndio maana mimi huamini kuwa wahenga hawakosei, waliponena, Sikio la kufa halisikii dawa.
Halaf ni makosa sana, kuhamishia argument kwa mtu (mjumbe) badala ya ujumbe wenyewe, sikutegemea mkuu wangu uta-fail on this.
Be blessed..
Hapa mkuu inazungumzwa mitazamo tofauti ya namna ya kukabiliana na ukimwi, kwa njia ipi? na si mapungufu ya watu fulani fulani, au unataka Papa kila aendako aseme kuwa anapinga ulawiti, ushoga, n.k kwa wakati mmoja?Mapadre wako mbele kuwalawiti watoto wadogo tena wakiume!
US RC wamepigwa faini ya over 500 million usd kwa ajili ya huu mchezo mchafu!
Pope hana moral authority tena kusema haya mambo!
Asafishe kwanza nyumba yake!!!
Hata wewe usitudanganye. Mimi nimefanya kazi na watu waliokuwa wanatumia kondomu huko Uingereza na hata hapa Afrika (huko Malawi) na wakapata ukimwi. Au hao hawakutumia kondomu za Tanzania?
Issue ya Aids ni complex na hivyo kondomu pekee ni uongo. Inabidi tu watu wajifunze kuchagua moja: kupata ukimwi kwa kuendekeza ngono (irresponsible sexual behaviour) au kuzuia kwa kujitahidi kuishi kiaminifu. Hizo kondomu zipo kwa biashara. Mbona watu wanaendelea kufa na kondomu zinaendelea kuuzwa au kugawiwa kama kweli zinazuia ukimwi?
Kwani amekosea aliposema hao jamaa wanalawiti watoto? kwani uongo?
Kamuulize Mtume wako Mwamedi, aliyekabaka katoto ka miaka 8, nadhani yeye atakuwa na majibu mazuri zaidi.
Shukran
Mtume nani? Mwamedi? huyo hatumjui waIslam, labda wako huyo.