Wakuu twende katika hoja. Latra walisema asitokee mtu akapandisha bei ya nauli mpaka mamlaka ikae.
Baadhi ya vyombo vya usafiri vimepandisha nauli. Kama vile bodaboda, bajaji na mabasi.
Kabla ya kupanda kwa bei ya mafuta nchini Aprili 1, 2026, tayari Abood Bus imepandisha nauli.
Mfano mdogo, zamani nauli kutoka Tanga kwenda Dar ilikuwa Shilingi 25,000 kwa mabasi ya VIP. Sasa hivi ni 28,000. Ongezeko ni Shilingi 3,000. Hii imekaaje wadau?!
Baadhi ya vyombo vya usafiri vimepandisha nauli. Kama vile bodaboda, bajaji na mabasi.
Kabla ya kupanda kwa bei ya mafuta nchini Aprili 1, 2026, tayari Abood Bus imepandisha nauli.
Mfano mdogo, zamani nauli kutoka Tanga kwenda Dar ilikuwa Shilingi 25,000 kwa mabasi ya VIP. Sasa hivi ni 28,000. Ongezeko ni Shilingi 3,000. Hii imekaaje wadau?!