Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,692
- 32,997
Moja kwa moja kwenye hoja, nimesafiri na T 327 DLS kwasababu series ya mabasi hayo na yale ya series ya DK yana mifumo ya kuchaji simu kwenye kila kiti, lakini kwenye bus lenye namba tajwa nimeona tofauti, nilipofuatilia hata baada ya kuhitaji huduma kutoka viti jirani hapakuwa na connection, kijana mmoja alinionesha chini ya viti kuwa kumenyofolewa viunganishi vya umeme.
Ndipo nikajiuliza nini motive behind all this?
Ndipo nikajiuliza nini motive behind all this?