Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,221
Nipo kwenye Abood Bus T 818 DXJ linalotoka Dar - Morogoro, dakika chache zilizopita tumenusurika ajali kugongana uso kwa uso na lorry karibu na Imperial Sec School Chalinze kisa ni dereva wa Abood kuwa kwenye mwendo mkali na kuovertake lorry lenye namba T662 DEM sehemu isiyoruhusu wakati mbele kuna lorry jingine linakuja.
Dereva wa lorry la kushoto akajitahidi kutoa nje ili tupite lakini haikusaidia ikabidi dereva wa lorry la mbele afunge breki za ghafla kunusuru hali.
Dereva wa Abood alipopenya akafika mbele na kumvizia dereva wa lorry lililotunusuru na kumsogezea bus ili atoke nje ya barabara.
Dereva wa lorry T662 DEM ametoa taarifa Polisi Mdaula na dereva wa bus amezuiwa kuendelea na safari baada ya askari kupata ushahidi kutoka kwa abiria juu ya kilichotokea.
Abood una mabasi mazuri yenye viwango, lakini jitahidi ku-mentor your drivers
Dereva wa lorry la kushoto akajitahidi kutoa nje ili tupite lakini haikusaidia ikabidi dereva wa lorry la mbele afunge breki za ghafla kunusuru hali.
Dereva wa Abood alipopenya akafika mbele na kumvizia dereva wa lorry lililotunusuru na kumsogezea bus ili atoke nje ya barabara.
Dereva wa lorry T662 DEM ametoa taarifa Polisi Mdaula na dereva wa bus amezuiwa kuendelea na safari baada ya askari kupata ushahidi kutoka kwa abiria juu ya kilichotokea.
Abood una mabasi mazuri yenye viwango, lakini jitahidi ku-mentor your drivers