Abdulrazak Hamza Tapeli wa kisasa katika soka

Abdulrazak Hamza Tapeli wa kisasa katika soka

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,413
Reaction score
5,150
Ukimuangalia huyu jamaa kwa jicho la kishabiki , ukiwa shabiki wa Simba sc utasema jamaa ni bonge la beki ila ukiwa shabiki wa Yanga sc utasema jamaa ni mbovu .Lakini ukimuangalia kwa jicho la kiuwanamichizo na kijasusi, utagundua huyu ni tapeli wa soka kama ilivyo wahi kutokea kwa wachezaji wengine matapeli Siku za nyuma.

Overall kama mchezaji si mchezaji mbaya Wala mzuri sana ,ni mwenye uwezo wa kati kwa level ya soka la Tanzania, lakini kwa wafuatiliaji wa michezo mingi ya Simba sc watakubaliana namimi kuwa huyu sio beki mzuri kwenye kuzuia, especially wakikutana na timu ambazo washambuliaji wake wanakuja moja kwa moja kupitia kati na sio pembeni
.Matokeo yake mechi zote ambazo Simba sc wamekutana na timu zinazoshambulia katikati kuliko pembeni ,huyu bwana amekuwa akifanya MAKOSA mengi ya wazi na maji yakizidi kimo anaamua kujitoa ili asiwe sehemu ya lawama na apate nafasi yakupangwa mechi nafuu zijazo kwa kigezo kwamba huenda angekuwemo angesaidia, ila huu ni ujanja wake wamakusudi kuficha madhaifu makubwa sana aliyonayo.

Mechi dhidi ya Yanga sc dube, na mzize walikuwa wanapita katikati pressure ikamshinda mara avute jezi ,mara abanwe misuli baadae akajitoa.
Gemu ya waarabu Constantine, pressure ikawa kubwa Tena , strikers wanapita kati jamaa akajivunja Tena.
Gemu ya Azam , nasoro saadun na fei na gibril sirra walikuwa wanakwenda katikati jamaa akachomesha chuma yakwanza ,kabla mambo hayajazidi unga akajivunja Tena.

Gemu ya FC Berkane jana jamaa aliona kabisa , hapa anapoteza namba jumla jumla kwenye kikosi cha kwanza akaamua ajivunje na kama angeendelea kucheza ,Simba wangekufa hata chuma 4.jamaa ni mzuri kucheza mpira na build up ila nimbovu kwenye marking na hajui kuchagua muda sahihi wakwenda kubattle hana timing ni tapeli
 
Uyu jamaa anahitaji wataalamu wa kisaikilojia ni beki anayetoka mchezoni presure ikiwa kubwa sana.

Anahitaji mwana saikolijia kumuweka sawa kwakua uwezo anao.
Anahitaji Mwalimu wa physio ambaye ata mwelekeza apunguze mazoezi ya Nguvu kwakua tayari nguvu anazo, anahitaji mazoezi ya ku mfanya awe mwepesi kwakua kwenye timing yupo vizuri sana.
 
Game zingine unamsingiziia... mfano ya Constantine kule ugenini alianza Hamza na Che malon

Che malon ndio alichomesha ndio akajivunja akatoka,, hata game ya azam Nakumbukuka hamza hakutoaka alietoka ni Che malon na ndie aliechoma lile goli.

Sasa wewe sijui huangaliagi mpira unahadithiwa kaka
Ohooo hayaa Mimi nimetoa mtazamo wangu , che Malone ni scapegoat on this sababu nirahisi kuwa singled out kutokana na uzoefu alionao , au unataka umpime hamza kwenye gemu dhidi ya mashujaa, gemu zote ngumu za Simba away au walizogongwa jamaa kahusika
 
Uyu jamaa anahitaji wataalamu wa kisaikilojia ni beki anayetoka mchezoni presure ikiwa kubwa sana.

Anahitaji mwana saikolijia kumuweka sawa kwakua uwezo anao.
Anahitaji Mwalimu wa physio ambaye ata mwelekeza apunguze mazoezi ya Nguvu kwakua tayari nguvu anazo, anahitaji mazoezi ya ku mfanya awe mwepesi kwakua kwenye timing yupo vizuri sana.
Fact 100%
 
Ukimuangalia huyu jamaa kwa jicho la kishabiki , ukiwa shabiki wa Simba sc utasema jamaa ni bonge la beki ila ukiwa shabiki wa Yanga sc utasema jamaa ni mbovu .Lakini ukimuangalia kwa jicho la kiuwanamichizo na kijasusi, utagundua huyu ni tapeli wa soka kama ilivyo wahi kutokea kwa wachezaji wengine matapeli Siku za nyuma.

Overall kama mchezaji si mchezaji mbaya Wala mzuri sana ,ni mwenye uwezo wa kati kwa level ya soka la Tanzania, lakini kwa wafuatiliaji wa michezo mingi ya Simba sc watakubaliana namimi kuwa huyu sio beki mzuri kwenye kuzuia, especially wakikutana na timu ambazo washambuliaji wake wanakuja moja kwa moja kupitia kati na sio pembeni
.Matokeo yake mechi zote ambazo Simba sc wamekutana na timu zinazoshambulia katikati kuliko pembeni ,huyu bwana amekuwa akifanya MAKOSA mengi ya wazi na maji yakizidi kimo anaamua kujitoa ili asiwe sehemu ya lawama na apate nafasi yakupangwa mechi nafuu zijazo kwa kigezo kwamba huenda angekuwemo angesaidia, ila huu ni ujanja wake wamakusudi kuficha madhaifu makubwa sana aliyonayo.

Mechi dhidi ya Yanga sc dube, na mzize walikuwa wanapita katikati pressure ikamshinda mara avute jezi ,mara abanwe misuli baadae akajitoa.
Gemu ya waarabu Constantine, pressure ikawa kubwa Tena , strikers wanapita kati jamaa akajivunja Tena.
Gemu ya Azam , nasoro saadun na fei na gibril sirra walikuwa wanakwenda katikati jamaa akachomesha chuma yakwanza ,kabla mambo hayajazidi unga akajivunja Tena.

Gemu ya FC Berkane jana jamaa aliona kabisa , hapa anapoteza namba jumla jumla kwenye kikosi cha kwanza akaamua ajivunje na kama angeendelea kucheza ,Simba wangekufa hata chuma 4.jamaa ni mzuri kucheza mpira na build up ila nimbovu kwenye marking na hajui kuchagua muda sahihi wakwenda kubattle hana timing ni tapeli
Umetumia maneno makali kwa mwanaume mwenzako mwenye watoto na familia
 
Ohooo hayaa Mimi nimetoa mtazamo wangu , che Malone ni scapegoat on this sababu nirahisi kuwa singled out kutokana na uzoefu alionao , au unataka umpime hamza kwenye gemu dhidi ya mashujaa, gemu zote ngumu za Simba away au walizogongwa jamaa kahusika
Kumbuka mimi sijamsifia wala kumponda yote hayo maswali unajiuliza mwenyewe na nadhani pia majibu unayo mwenyewe.
 
IMG-20250518-WA0023_1.jpg
 
Ukimuangalia huyu jamaa kwa jicho la kishabiki , ukiwa shabiki wa Simba sc utasema jamaa ni bonge la beki ila ukiwa shabiki wa Yanga sc utasema jamaa ni mbovu .Lakini ukimuangalia kwa jicho la kiuwanamichizo na kijasusi, utagundua huyu ni tapeli wa soka kama ilivyo wahi kutokea kwa wachezaji wengine matapeli Siku za nyuma.

Overall kama mchezaji si mchezaji mbaya Wala mzuri sana ,ni mwenye uwezo wa kati kwa level ya soka la Tanzania, lakini kwa wafuatiliaji wa michezo mingi ya Simba sc watakubaliana namimi kuwa huyu sio beki mzuri kwenye kuzuia, especially wakikutana na timu ambazo washambuliaji wake wanakuja moja kwa moja kupitia kati na sio pembeni
.Matokeo yake mechi zote ambazo Simba sc wamekutana na timu zinazoshambulia katikati kuliko pembeni ,huyu bwana amekuwa akifanya MAKOSA mengi ya wazi na maji yakizidi kimo anaamua kujitoa ili asiwe sehemu ya lawama na apate nafasi yakupangwa mechi nafuu zijazo kwa kigezo kwamba huenda angekuwemo angesaidia, ila huu ni ujanja wake wamakusudi kuficha madhaifu makubwa sana aliyonayo.

Mechi dhidi ya Yanga sc dube, na mzize walikuwa wanapita katikati pressure ikamshinda mara avute jezi ,mara abanwe misuli baadae akajitoa.
Gemu ya waarabu Constantine, pressure ikawa kubwa Tena , strikers wanapita kati jamaa akajivunja Tena.
Gemu ya Azam , nasoro saadun na fei na gibril sirra walikuwa wanakwenda katikati jamaa akachomesha chuma yakwanza ,kabla mambo hayajazidi unga akajivunja Tena.

Gemu ya FC Berkane jana jamaa aliona kabisa , hapa anapoteza namba jumla jumla kwenye kikosi cha kwanza akaamua ajivunje na kama angeendelea kucheza ,Simba wangekufa hata chuma 4.jamaa ni mzuri kucheza mpira na build up ila nimbovu kwenye marking na hajui kuchagua muda sahihi wakwenda kubattle hana timing ni tapeli
Kwa kifupi umeandika ujingaujinga mwingi mno na wajinga wenzako wamekusapoti.
Kimsingi una IQ ndogo mno,yaani ni zero IQ.
 
Ukimuangalia huyu jamaa kwa jicho la kishabiki , ukiwa shabiki wa Simba sc utasema jamaa ni bonge la beki ila ukiwa shabiki wa Yanga sc utasema jamaa ni mbovu .Lakini ukimuangalia kwa jicho la kiuwanamichizo na kijasusi, utagundua huyu ni tapeli wa soka kama ilivyo wahi kutokea kwa wachezaji wengine matapeli Siku za nyuma.

Overall kama mchezaji si mchezaji mbaya Wala mzuri sana ,ni mwenye uwezo wa kati kwa level ya soka la Tanzania, lakini kwa wafuatiliaji wa michezo mingi ya Simba sc watakubaliana namimi kuwa huyu sio beki mzuri kwenye kuzuia, especially wakikutana na timu ambazo washambuliaji wake wanakuja moja kwa moja kupitia kati na sio pembeni
.Matokeo yake mechi zote ambazo Simba sc wamekutana na timu zinazoshambulia katikati kuliko pembeni ,huyu bwana amekuwa akifanya MAKOSA mengi ya wazi na maji yakizidi kimo anaamua kujitoa ili asiwe sehemu ya lawama na apate nafasi yakupangwa mechi nafuu zijazo kwa kigezo kwamba huenda angekuwemo angesaidia, ila huu ni ujanja wake wamakusudi kuficha madhaifu makubwa sana aliyonayo.

Mechi dhidi ya Yanga sc dube, na mzize walikuwa wanapita katikati pressure ikamshinda mara avute jezi ,mara abanwe misuli baadae akajitoa.
Gemu ya waarabu Constantine, pressure ikawa kubwa Tena , strikers wanapita kati jamaa akajivunja Tena.
Gemu ya Azam , nasoro saadun na fei na gibril sirra walikuwa wanakwenda katikati jamaa akachomesha chuma yakwanza ,kabla mambo hayajazidi unga akajivunja Tena.

Gemu ya FC Berkane jana jamaa aliona kabisa , hapa anapoteza namba jumla jumla kwenye kikosi cha kwanza akaamua ajivunje na kama angeendelea kucheza ,Simba wangekufa hata chuma 4.jamaa ni mzuri kucheza mpira na build up ila nimbovu kwenye marking na hajui kuchagua muda sahihi wakwenda kubattle hana timing ni tapeli
Mimi ni mshabiki wa simba nakubaliana na wewe kabisa,sijawai kumkubali hata kidogo
 
Ukimuangalia huyu jamaa kwa jicho la kishabiki , ukiwa shabiki wa Simba sc utasema jamaa ni bonge la beki ila ukiwa shabiki wa Yanga sc utasema jamaa ni mbovu .Lakini ukimuangalia kwa jicho la kiuwanamichizo na kijasusi, utagundua huyu ni tapeli wa soka kama ilivyo wahi kutokea kwa wachezaji wengine matapeli Siku za nyuma.

Overall kama mchezaji si mchezaji mbaya Wala mzuri sana ,ni mwenye uwezo wa kati kwa level ya soka la Tanzania, lakini kwa wafuatiliaji wa michezo mingi ya Simba sc watakubaliana namimi kuwa huyu sio beki mzuri kwenye kuzuia, especially wakikutana na timu ambazo washambuliaji wake wanakuja moja kwa moja kupitia kati na sio pembeni
.Matokeo yake mechi zote ambazo Simba sc wamekutana na timu zinazoshambulia katikati kuliko pembeni ,huyu bwana amekuwa akifanya MAKOSA mengi ya wazi na maji yakizidi kimo anaamua kujitoa ili asiwe sehemu ya lawama na apate nafasi yakupangwa mechi nafuu zijazo kwa kigezo kwamba huenda angekuwemo angesaidia, ila huu ni ujanja wake wamakusudi kuficha madhaifu makubwa sana aliyonayo.

Mechi dhidi ya Yanga sc dube, na mzize walikuwa wanapita katikati pressure ikamshinda mara avute jezi ,mara abanwe misuli baadae akajitoa.
Gemu ya waarabu Constantine, pressure ikawa kubwa Tena , strikers wanapita kati jamaa akajivunja Tena.
Gemu ya Azam , nasoro saadun na fei na gibril sirra walikuwa wanakwenda katikati jamaa akachomesha chuma yakwanza ,kabla mambo hayajazidi unga akajivunja Tena.

Gemu ya FC Berkane jana jamaa aliona kabisa , hapa anapoteza namba jumla jumla kwenye kikosi cha kwanza akaamua ajivunje na kama angeendelea kucheza ,Simba wangekufa hata chuma 4.jamaa ni mzuri kucheza mpira na build up ila nimbovu kwenye marking na hajui kuchagua muda sahihi wakwenda kubattle hana timing ni tapeli

View: https://vm.tiktok.com/ZMSLrgdTA/
 
Ni kama kuna ukweli hivi! Mfano kwenye mechi ya jana dhidi ya Rs Berkane, hakuna mahali alionekana kuumia! Ila mwisho wa siku aliishia kutoka nje.

Ni vizuri akakutanishwa na wataalam wa saikolojia ili wamsaidie kuondokana na hiyo hali ya kujiumiza.
 
Back
Top Bottom