ntemintale
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 956
- 1,878
Abdukiba katoa wimbo mpya akimshirikisha kaka yake Alikiba. Wimbo huo unaenda kwa jina la Single.
Tazama
Tazama
Hakika mkuu, tatizo watu wanafananisha Diamond na vitu vya kipuuzi kama hiki.Kwa akili hiizi .Diamond ataendelea kukimbiza sana....
Huyu mdogo wake alikuwa anaimba vizuri sijui nini kilimkumbaNajuta kutumia mb zangu kwa vitu vya kijinga
Yani nimesikiliza mwanzo paka mwisho nikawaza mbona akuna kitu nimerudia tena akuna kituKamfunga kamba kwenye reli.
Ukiwa unasikiliza wimbo huku akili yako imejaa mawazo ya kulinganisha hauwezi kuelewa chochote kwa sababu kila msanii ana radha tofauti na mwenzake. Daima nyimbo haziwezi kuwa na radha moja inayofanana na msanii mwingine.Hakika mkuu, tatizo watu wanafananisha Diamond na vitu vya kipuuzi kama hiki.
Kwenye uzi huu hakuna sehemu alipolinganishwa msanii na msanii. Huu u team utawafanya mgawe wapenzi wenu.Kwa akili hiizi .Diamond ataendelea kukimbiza sana....
MBONA HAKUNA MAHALI MLETA MADA KAMFANANISHA NA DIAMONDHakika mkuu, tatizo watu wanafananisha Diamond na vitu vya kipuuzi kama hiki.
Umenikatisha tamaa nilikuwa nataka kufungua nimeairishaNajuta kutumia mb zangu kwa vitu vya kijinga