Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,972
- 6,245
😀😀😀😀
yani mtu kachukua kalamu na karatasi kaandika kwa kurudia rudia neno "single" kisha kaenda studio katafuta melody na kuingiza neno single kwa kurudia rudia kwenye beat kwa dakika mbili na ushee halafu wanakuja kutuambia ni wimbo tena wanadai ni mpya!!!
Waache dharau hawa vijana!
yani mtu kachukua kalamu na karatasi kaandika kwa kurudia rudia neno "single" kisha kaenda studio katafuta melody na kuingiza neno single kwa kurudia rudia kwenye beat kwa dakika mbili na ushee halafu wanakuja kutuambia ni wimbo tena wanadai ni mpya!!!
Waache dharau hawa vijana!