Jacob Zuma hana elimu lakini ni President wa nchi kubwa Africa, John Brescott na John Major walishika wadhifa mkubwa UK na elimu yao ilikua 1V
Bado unaweza usiwe na elimu hiyo unayo fikiria wewe na bado ukawa kiongzi mzuri ukashinda wenye Phd, Dr. nk, mfano tunao wengi tu hapa TZ wenye elimu ambao wanvurunga.