Kweli Tanzania ni nchi ya ajabu.Huyu mtu hana elimu yakuweza kuwa hata diwani,leo hii anatoa upinzani katika uchaguzi wa jumuia ya wazazi.Mtu huyu lazima ameshikwa mkono na mafisadi.Alishindwa kwenye kura za maoni za udiwa Makumbusho dar.Alianza kama muuza genge huko Musoma kisha kuwa diwani Nyasho na kuingia Fat.