Abdallah Bulembo ashtakiwe ICC

Abdallah Bulembo ashtakiwe ICC

Last emperor

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
10,346
Reaction score
9,881
Nimekuwa nikimsikia Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi wa ccm Abdallah Bulembo akitoa kauli zenye ukakasi mara nyingi, lakini kauli aliyoitoa juzi inabidi ilaaniwe kwa nguvu zote, na zaidi ifikishwe icc kama kielelezo cha kuchochea uvunjifu wa amani. Amesema ccm inaweza ikafanya mambo yote lakini haiwezi kuikabidhi ukawa ikulu!! Kwanza yeye ni nani kwenye Tanzania hii mpaka atoe kauli kama ile? Na je anachozungumza ni kauli yake binafsi au ni kauli ya chama baada ya maamuzi ya vikao? Tukumbuke kauli kama hizi ndizo zilizoitumbukiza Ivory Coast katika machafuko makubwa baada ya uchaguzi nchini humo miaka kadhaa iliyopita. Mke wa rais na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo walikuwa wanatoa kauli kuwa rais wa wakati huo hayupo tayari kukabidhi ikulu kwa wapinzani. Sasa hivi wapo jela wakitumikia vifungo vyao kwa kuchochea machafuko. Kitu kingine nashangaa NEC wapo kimya kabisa, hawajatoa onyo wala karipio kwa kauli ya kichochezi iliyotolewa na kiongozi huyo wa ccm. Naomba viongozi wa ukawa wawe wanakusanya vielelezo hivi na kuvihifadhi ili vije vitumike kuwashitaki wale wote watakaoiingiza nchi katika machafuko kama anavyofanya huyu Abdallah Bulembo. Najua icc nao wapo nchini, wafatilie kauli za huyu mwana ccm.
 
Nilimsikia hata mimi, nikamshangaa sana nchi hii hata abdallah bulembo anajiona anaweza kusema hatakalo hata kama ni bomu.shame on him!
 
Last emperor...
Nimesoma makala yako nimeelewa unajua nini mkuu ccm na uongoz wao wamesha poteza dira hivyo wanacho kiongea hawajui nini wanaongea is like mtu alie kunywa sumu halafu glas ya maziwa ipo flo ya kumi anatapa tapa jinsi gani atapanda ngazi kuifikia. Bulembo mara nyingi hujifanya yeye ndie rais wa chama chao hutoa kauli kali kama yeye ndie m/kt wa chama na uongoz wa maadili katika chama chake wapo kimya tu but as day goes wataelewa tu kua mbwa ni mbwa hata ukiimpa jina atabakia kuitwa mbwa tu. Have nice day
 
Nimekuwa nikimsikia Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi wa ccm Abdallah Bulembo akitoa kauli zenye ukakasi mara nyingi, lakini kauli aliyoitoa juzi inabidi ilaaniwe kwa nguvu zote, na zaidi ifikishwe icc kama kielelezo cha kuchochea uvunjifu wa amani. Amesema ccm inaweza ikafanya mambo yote lakini haiwezi kuikabidhi ukawa ikulu!! Kwanza yeye ni nani kwenye Tanzania hii mpaka atoe kauli kama ile? Na je anachozungumza ni kauli yake binafsi au ni kauli ya chama baada ya maamuzi ya vikao? Tukumbuke kauli kama hizi ndizo zilizoitumbukiza Ivory Coast katika machafuko makubwa baada ya uchaguzi nchini humo miaka kadhaa iliyopita. Mke wa rais na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo walikuwa wanatoa kauli kuwa rais wa wakati huo hayupo tayari kukabidhi ikulu kwa wapinzani. Sasa hivi wapo jela wakitumikia vifungo vyao kwa kuchochea machafuko. Kitu kingine nashangaa NEC wapo kimya kabisa, hawajatoa onyo wala karipio kwa kauli ya kichochezi iliyotolewa na kiongozi huyo wa ccm. Naomba viongozi wa ukawa wawe wanakusanya vielelezo hivi na kuvihifadhi ili vije vitumike kuwashitaki wale wote watakaoiingiza nchi katika machafuko kama anavyofanya huyu Abdallah Bulembo. Najua icc nao wapo nchini, wafatilie kauli za huyu mwana ccm.
Wamepagaw wamepanic. Tutawashikisha afabu mwaka huu.
ccmoniidaliliiyaakukubalii tenamapemaaakuwaaccmm imeshindwa ila hawako tayari kukabidhi madaraka. Bahati mbaya mbambayakmbayamhakuna akili ndaakili ndaniuya ccmahuyugjamaahangekwiccma kwa kukiri mapema ccm kushindwa.
The Hague ni halali yake
 
kuna watu wengine kuwapeleka ICC ni kama kuwapa sifa tu , huyu adakwe aswekwe segerea na kesi yake ipelekwe kisutu baaasi .
 
Raia na Ccm ni kama mke na mume wakuu.

Sasa ccm kama ni mke na raia kama ni mume na hakuna mawasiliano mazuri ndani ya nyumba mi sidhani kama hiyo ndoa itakuwa na AMANI ndani yake.

Mume ambaye ndio RAIA alitakiwa awe na sauti ndani ya nyumba na kufanya kwa kila anachokitaka na kila asichokitaka lakini kwa ndoa hii ya raia na ccm naona mke ndio ana sauti kuliko mume.

Mke anakuwa na sauti labda tu ni kwa sababu kuwa mume anakuwa hajitambui au labda mume anategemea chakula toka kwa mkewe akiamini kuwa eti hawezi kupata sehem nyingine (uvivu wa kutafuta) akitegemea kuwa tegemezi kwa mke siku zote, lazma mke akupeleke peleke kwa style hiyo.

Kwa mifano michache tu ya mke na mume ndio mana tunaweza kuona huyo mke anaongea chochote akijua kuwa mumewe hana kauli na wala hawezi kufanya lolote.

Kwa jina jingine mume wa aina hii huitwa ni MUME B.W.E.G.E

AMKENI WATANZANIA OOH, MH !!
 
Makamanda tuchukue nchi kwanza hao wengine wanaotoa "hate speech" tutawafikisha panapostahili...!!
 
hivyo nyie vijana mbona mnajitia hamnazo? hata mtu akijamba hadharani mtataka apelekwe icc!
 
Bulembo hata ICC ataongea nini darasa la saba huyo!
 
kuna watu wengine kuwapeleka ICC ni kama kuwapa sifa tu , huyu adakwe aswekwe segerea na kesi yake ipelekwe kisutu baaasi .

Hata Segerea mtampa sifa apelekwe gereza la kawetele liko pale mbeya njia ya kwenda chunya na fimbo za kutosha!
 
nimekuwa nikimsikia mwenyekiti wa jumuia ya wazazi wa ccm abdallah bulembo akitoa kauli zenye ukakasi mara nyingi, lakini kauli aliyoitoa juzi inabidi ilaaniwe kwa nguvu zote, na zaidi ifikishwe icc kama kielelezo cha kuchochea uvunjifu wa amani. Amesema ccm inaweza ikafanya mambo yote lakini haiwezi kuikabidhi ukawa ikulu!! Kwanza yeye ni nani kwenye tanzania hii mpaka atoe kauli kama ile? Na je anachozungumza ni kauli yake binafsi au ni kauli ya chama baada ya maamuzi ya vikao? Tukumbuke kauli kama hizi ndizo zilizoitumbukiza ivory coast katika machafuko makubwa baada ya uchaguzi nchini humo miaka kadhaa iliyopita. Mke wa rais na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo walikuwa wanatoa kauli kuwa rais wa wakati huo hayupo tayari kukabidhi ikulu kwa wapinzani. Sasa hivi wapo jela wakitumikia vifungo vyao kwa kuchochea machafuko. Kitu kingine nashangaa nec wapo kimya kabisa, hawajatoa onyo wala karipio kwa kauli ya kichochezi iliyotolewa na kiongozi huyo wa ccm. Naomba viongozi wa ukawa wawe wanakusanya vielelezo hivi na kuvihifadhi ili vije vitumike kuwashitaki wale wote watakaoiingiza nchi katika machafuko kama anavyofanya huyu abdallah bulembo. Najua icc nao wapo nchini, wafatilie kauli za huyu mwana ccm.
icc itamkamata
 
Nilimsikia hata mimi, nikamshangaa sana nchi hii hata abdallah bulembo anajiona anaweza kusema hatakalo hata kama ni bomu.shame on him!

Kuna mwingine aliwahi kusema kuwa kama katiba itapitisha serikali tatu basi yeye angeingia msituni kuleta vita na kuua watu, bahati nzuri MUNGU akamtanguliza yeye
 
KITU AMBACHO ICC IMEJIFUNZA SANA NI "DOSARI ZA AWALI"
NA NDIO SABABU YA KUWEKA KAMBI MAPEMA!
#KAULI
#MWENENDO
#VICHOCHEZI
#MFUMO MZIMA WA UCHAGUZI TOKA A~Z
LENGO:-
*******
VIONGOZI WENGI DUNIANI WAMEKUWA NA AJENDA NYINGI ZA SIRI / NA ZA HATARI KWA MATAIFA YAO!
HIVYO BASI
*************
WANA COLLECT ANY IDENTITTY AMBAZO ZITAKUWA LIVE NA ZITAKAZOWEZA KURAHISISHA MWENENDO WA KESI
ii
 
Nimekuwa nikimsikia Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi wa ccm Abdallah Bulembo akitoa kauli zenye ukakasi mara nyingi, lakini kauli aliyoitoa juzi inabidi ilaaniwe kwa nguvu zote, na zaidi ifikishwe icc kama kielelezo cha kuchochea uvunjifu wa amani. Amesema ccm inaweza ikafanya mambo yote lakini haiwezi kuikabidhi ukawa ikulu!! Kwanza yeye ni nani kwenye Tanzania hii mpaka atoe kauli kama ile? Na je anachozungumza ni kauli yake binafsi au ni kauli ya chama baada ya maamuzi ya vikao? Tukumbuke kauli kama hizi ndizo zilizoitumbukiza Ivory Coast katika machafuko makubwa baada ya uchaguzi nchini humo miaka kadhaa iliyopita. Mke wa rais na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo walikuwa wanatoa kauli kuwa rais wa wakati huo hayupo tayari kukabidhi ikulu kwa wapinzani. Sasa hivi wapo jela wakitumikia vifungo vyao kwa kuchochea machafuko. Kitu kingine nashangaa NEC wapo kimya kabisa, hawajatoa onyo wala karipio kwa kauli ya kichochezi iliyotolewa na kiongozi huyo wa ccm. Naomba viongozi wa ukawa wawe wanakusanya vielelezo hivi na kuvihifadhi ili vije vitumike kuwashitaki wale wote watakaoiingiza nchi katika machafuko kama anavyofanya huyu Abdallah Bulembo. Najua icc nao wapo nchini, wafatilie kauli za huyu mwana ccm.

Icc ya Kaskazini?????
 
Bulembo hata ICC ataongea nini darasa la saba huyo!

Tutamtafutia mkalimani. Na kweli ni kilaza kweli huyu jamaa. Yaani anaongeaga pumba kweli. Anaaibisha wazazi wa ccm sana, yaani hamna mzazi wa ccm mwenye akili mpaka akachaguliwa huyu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom