Kanunuliwa, na huenda CCM wakamsimamisha katika jimbo hilo hilo. Uchaguzi wa mwakani naona CCM wanataka tumia kila hila Pemba wapate japo majimbo machache. Nimesoma Mkuu wa Mkoa mmoja wa Pemba akizungumzia uandikishaji wa daftari la wapiga kura kuwa CUF Pemba walikuwa wanatumia hila kushinda. Yani CCM kutumia vikosi vya ulinzi kibao toka Bara, kuzuia baadhi ya watu kujiandikisha, na pia kuiba kura, leo wanasema CUF hushinda kwa hila Pemba. Uchaguzi wa mwakani utakuwa na hila kubwa tokea kwa CCM, na haya yameanza onekana mapema wakati wa kuandikisha wapiga kura.
Huyu Mhunzi kadhulumu fedha za wawakilishi, sasa anabebwa na CCM. Kazi tunayo.