Abarikiwe aliyemleta Rais Samia Duniani

Rais Samia Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga tu,pia sipo hapa kumnanga mtu Bali kuwasilisha mawazo yangu juu ya Rais Samia na uchapa kazi wake uliotukuka na ulioteka mioyo ya watanzania ambayo imeridhishwa na utendaji kazi wake
Usisahau kuweka cv yako mkuu mwezi wa 5 kuna ajira serikali itatoa
 
Mama amekuja Kutatua hizi shida
Hakika Rais Samia ni jibu la matatizo na kero zilizokuwa zinaleta changamoto katika maisha ya watanzania, Ni mama aliyeleta matumaini na Tabasamu Katika Mioyo ya watanzania,kila mmoja ameguswa na kufikiwa na juhudi za mh Rais katika kututumikia na kutuinua kiuchumi watanzania,Hakuna anayeachwa nyuma Wala kupitwa na mipango ya serikali ya Rais Samia
 
Mama amekuja Kutatua hizi shida
Hakika Rais Samia ni jibu la matatizo na kero zilizokuwa zinaleta changamoto katika maisha ya watanzania, Ni mama aliyeleta matumaini na Tabasamu Katika Mioyo ya watanzania,kila mmoja ameguswa na kufikiwa na juhudi za mh Rais katika kututumikia na kutuinua kiuchumi watanzania,Hakuna anayeachwa nyuma Wala kupitwa na mipango ya serikali ya Rais
 
Nilivyoona umeweka hadi namba ya simu, nimeahirisha kukupa like japo umeandika vitu vinavyofanana na ukweli.
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwa hakika libarikiwe sana tumbo lililombeba mama Samia, lilibeba mtoto aliyekuja kuwa kiongozi wa Tanzania, kiongozi mwenye upendo, hekima, busara, ukarimu, huruma, unyenyekevu na usikivu.
Yote kwa yote mm napenda sana kwa jinsi alivyo mkweli ktk serikali yk.

Hapo nyuma rulikuwa runadanganywa sana sana.
 
Nilivyoona umeweka hadi namba ya simu, nimeahirisha kukupa like japo umeandika vitu vinavyofanana na ukweli.
Nashukuru ndugu yangu Kama ujumbe Wangu umeeleweka na kuunga mkono juu ya upekee wa Rais wetu na mama yetu mama Samia kwa juhudi zake za kujenga Taifa letu,Tunaweza kutofautiana kimtizamo na kisiasa lakini naamini Ni lazima wote tutakubaliana na ukweli kuwa Rais Samia Ni mchapa kazi asiye na wa kufananishwa Naye Barani Afrika kwa Sasa, Ni kiongozi aliyeleta matumaini na Tabasamu kwa watanzania wa vyama vyote na kuleta Furaha katika maisha ya watu wote kutokana na ucha Mungu wake na hofu ya Mwenyezi MUNGU aliyo jaa katika kifua chake
 
Yote kwa yote mm napenda sana kwa jinsi alivyo mkweli ktk serikali yk.

Hapo nyuma rulikuwa runadanganywa sana sana.
Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu ndio sababu husem ukweli na haogopi kuusema ukweli kwa watanzania
 
Tunapoandika tuwe makini tusifanye kufuru.

Ufalme wa Mwenyezi Mungu ni wakipekee hauingiliwi.
 
Huwa tunapongeza baada ya kuona matokeo na sio mipango, usimamizi bora ndio unaleta positive results, ukifeli kwenye usimamizi hakutakuwa na positive results tutakachoona ni total failure.

Tulipongeza sana "Kilimo kwanza" lakini matokeo yake tukaletewa "Kagoda" na kutajirisha waasia na waarabu na kuendelea kuwaacha watanzania mafukara.
 
Ngonjera nyingi hadi umesahau kuweka namba ya simu na unako patikana labda utafikiriwa mkeka ujao
 
Hivi hamuoni umeme unakatika Kila siku, tozo hamzioni Benki, Tigo pesa, Bei ya vyakula kuwa juu Kama unga 2,000, Michele 3,600, maharage 4,000, Deni la Taifa Tilion 100, je mnajielewa kweli. Kila siku kusifia.
 

Tangu umesikia ana account jf kijana Una mwanga masifa tu
 
Tangu umesikia ana account jf kijana Una mwanga masifa tu
Mimi naandika ukweli siku zote juu ya Rais wetu mpendwa mama Samia katika uchapa kazi wake na aina ya uongozi wake katika kuwatumikia watanzania,Kama unaona nimepotosha mahali waweza nipinga kwa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…