..........namuunga mkono kijana Frank!! kwangu mimi ni zaidi ya shujaa! kwa vile system ya nchi hii ilivyojaa unafiki utasikia kauli za kichefuchefu toka kwa 'wenyenchi' dhidi ya 'mwananchi' huyo ilhali wanajua chanzo cha kijana huyo ku-behave alivyo-behave. Ni kweli kwamba wapo wengi sana sana sana sana waliokata tamaa na namna nchi inavyoendeshwa! hakuna matumaini ya hali kuboreka zaidi ya 'kila kukicha afadhari ya jana'. CCM wana tendency mbaya sana ya kupuuzia dalili....kuna matukio hatarishi sana yanayo sign tulipo na tunapoelekea ni kubaya sana. Suicide bombers wanaanza hivi hivi.....just imagine kama kijana yule angepewa mafunzo ya kigaidi na kuahidiwa mapesa kibao na kuelekezwa kuwauwa hao 'mafisadi' wanaotaka kumtoa roho, je angekataa? Tena unakuta JK anawakusanya mawaziri na manaibi wao hotelini katika ulinzi hafifu kabisa (niliwahi kuwaona pale Ubungo Plaza kukiwa na loose security measures). kwenu Usalama wa Taifa, kazi yenu si ku-deal na usalama wa viongozi wa juu tu ila hata kukemea mwenendo m'bovu wa serikali maana mambo yakitibuka hamtakuwa na namna ya kukwepa lawama ilhali mnaona dhahiri trend ya kiusalama nchini from within the citizens.
ANGALIZO: kama kuna mtu asiyeitakia mema nchi hii, unafikiri akiamua kuwakusanya vijana jamii ya huyo kijana atapata tabu kuwapata? then nini kitatokea?