Miaka 25 ya ndoa, maana yake watoto wako wamo humu na possibly wao ndio wanakupa ushauri; badala ya wewe kuwapa ushauri.
Sidhani kama kuna kitu hukijui, labda unatupa story tu!
Upo njia panda kivipi? Wewe ni mtu mzima na siyo mtoto. Naamini unajua nini maana ya ndowa. Ukiamua kudungua nje ya ndowa ujue linakuhusu . Nawalisema ukionja asali utachonga mzinga. So make wise decision.
Watu wengine akili zao zipo mikiani
Mwaka 1970.........nimeshindwa hata niseme nini...
wacha maneno yako wewe",..anavutia! anavutia!..kwan yeye kitegauchumi na ww muwekezaji...heshim ndoa yako..:boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing:
Miaka 25 ya ndoa, maana yake watoto wako wamo humu na possibly wao ndio wanakupa ushauri; badala ya wewe kuwapa ushauri.
Sidhani kama kuna kitu hukijui, labda unatupa story tu!
Hahahahaha, duh una mambo, Em acha kutuenjoy, tunga story nyngne hapa umeprove failure... Acha obsession.za ajabu hzo... We mtu mzima kweli? we ni dogo tu unatutungia ctor.. Post thread za maana bna
tii kiu yako!
Kwa umri wako...na hekima ambazo i suppose you have, sidhani kama unapaswa kuwekwa njia panda na swala kama hili. Yaani utake kusaliti ndoa yako sababu ya some "old silly crush"!? Think twice... You have so much to loose.
hujajiuliza kwa nini alikudharau that time?? Ujana wake achezee na nani uzee wake amalizie nan? Hahahahahaha. Akili kumkichwa na utu uzima dawaa..
Dumping charges or fees hapo umei-consider ? au unataka tu kuparamia ...
Stop prostituting your marriage!
mbona kwa miaka unayoeleza wewe ni baba yangu? naed akusema kwa mama .................kusema....................hata ukininunulia pipi.................. naenda kusema
Well said mkuu, sasa mtu mzima kama huyo badala sie vijana tuombe ushauri kwake, yeye ndiye anaomba ushauri kwetu.
The unseen is illustrated by the seen.
Dah!hii situation naona na mimi itakuja kunitokea siku za usoni maana kuna msichana nilisoma naye mpaka leo sijawahi kumpenda yeyote kama ninavyompenda huyo mtoto!