..........Sifa hizo nyingi ninazo ila kuna chache ambazo sina na wanaume wachache sana wanaweza kuwa nazo hizo sifa zote. Nakushauri tufanye mpango "tungonoke" hadi upate ujauzito labda mtoto atakayezaliwa kama ni wa kiume anaweza kuwa na sifa zote hizo. Nahisi hiyo itasaidia kumpata Mwanaume wa aina uitakayo. (I am joking!)