grand-mal
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 337
- 176
Mimi ni mwanaume, 37 years of age, ni baba wa watoto wawili, wote wa kike, nimezaa na mwanamke mmoja, watoto wote, aliyekuwa mke wangu kabla ndoa yetu haijavunjika (sababu baadae). Nina masters degree ya udaktari , nafanya kazi katika hospitali moja ya mkoa. Natafuta mtu wa kumaliza nae maisha.
Napenda mwanamke mwenye angalau first degree, a teacher, banker, economist. Mwanamke mwenye lifestyle ya wastani, umbo la wastani, si mnene si mwembamba sana, mrefu wa wastani, mcha mungu, mpenda watoto, she is going to be a mother of my daughters (ingawa kwa sasa watoto wako kwa mama yao).
Asiwe medical personnel or soldier or lawyer (from friends' and my own past experince with women of these carriers - mtazamo wangu lakini si kwamba ni wanawake wasiofaa).
I promise to be the best husband one can be proud of, of course for the best wife.
Interested? PM me.
Update 23/02/2013
Wanachungulia wanasepa, so far bila bila, sijui nitoe deadline, anyway ngoja niendelee kuvumilia.
Napenda mwanamke mwenye angalau first degree, a teacher, banker, economist. Mwanamke mwenye lifestyle ya wastani, umbo la wastani, si mnene si mwembamba sana, mrefu wa wastani, mcha mungu, mpenda watoto, she is going to be a mother of my daughters (ingawa kwa sasa watoto wako kwa mama yao).
Asiwe medical personnel or soldier or lawyer (from friends' and my own past experince with women of these carriers - mtazamo wangu lakini si kwamba ni wanawake wasiofaa).
I promise to be the best husband one can be proud of, of course for the best wife.
Interested? PM me.
Update 23/02/2013
Wanachungulia wanasepa, so far bila bila, sijui nitoe deadline, anyway ngoja niendelee kuvumilia.