A Picture Say's A Thousands Of Words

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
bff91c559509990a4ac0f45120c62cbe.jpg


http://
www.jamiiforums.com/mobile-gallery/5859f908ebf8b198d2f7bdf91fc7492c.jpg

95e8276c487f02fcdaa78a41d3fb7b4a.jpg


8e2d9ed37ff7127c6230ccf9613633e4.jpg


8e5bfce7f0fa153f301d395c4f06a2ca.jpg


8e9c915e8e2bad5de614d6c18fc96ad3.jpg


2dc91433c4cf2ccf0c1ea4dca2ba4cc2.jpg





91cb32a14808735ac4eb84c65a13bb13.jpg


247b93dbf6e2f6eb375d016495bb5d59.jpg
 
2dc91433c4cf2ccf0c1ea4dca2ba4cc2.jpg

...............Serikali ya thithiem na waandishi wetu wakiamini wao wako salama.
 
Dah unajua ukiwa
Hii yote inatokana na vilaza wengi kuingia jf
Mtu natuma picha tens amaesema amesema picture says thousands of words
Picha yenye kusma maelfu ya maneno alaf mtu anakuja na koment uku na kicheko apo ccm wanakimbiza upepo
Shame on you guys
Hii jamii forums foto si kila picha n ya vichekesho sometimes mleta madam anataka wanajf muelezee mawazo ili tujipime uwezo wetu kama magt katika kufumbua mafumbo kupitia taswira mbalimbali
Nawasilisha
 
Hapo ni ccem haitaki kuona professionals wakifanya yao.
Hapo hao wanaonekana ninkama waajir iliyomwahika ni rang na huyo MTU alokufa ni mpaka rangi lakin. Watu wanashangaa nankihuzunika juu ya rangi iliyomwagika na kudharau maisha ya mpaka rang ambayo amekufa
 
View attachment 509182
...............Serikali ya thithiem na waandishi wetu wakiamini wao wako salama.
Au hapa ni Sawa. Na mataifa maskin ambayo yanatambua kuwa .marekan ni taifa gandamz lakin hayana nguvu mwishowe hishia kupablish Yale ambayo wenzao hufanyiwa na hao madhalim wakisubr. na wao zam Yao ifike bila ya kutafuta njia ya kujinasua
 
Mpaka rangi amedondoka na kufa ila maboss wanasikitikia rangi iliyomwagika kuliko binadamu
Ikiwa na maana kwamba

Thamani yako ni pale unapowatumikia tu ukiondoka basi kwao hauna faida

Dreams never end by fear
 
Hapo hao wanaonekana ninkama waajir iliyomwahika ni rang na huyo MTU alokufa ni mpaka rangi lakin. Watu wanashangaa nankihuzunika juu ya rangi iliyomwagika na kudharau maisha ya mpaka rang ambayo amekufa
Vipi Mamaa?mbona mapovu meengi na kujifanya GT then waandika madudu/utumbo?Ulimaanisha nn labda bidada?
 
Au hapa ni Sawa. Na mataifa maskin ambayo yanatambua kuwa .marekan ni taifa gandamz lakin hayana nguvu mwishowe hishia kupablish Yale ambayo wenzao hufanyiwa na hao madhalim wakisubr. na wao zam Yao ifike bila ya kutafuta njia ya kujinasua
Gandamiz,hishia,kupablish,zam Yao~mbona haya maneno yana harufu ya fa~fa~fa yaani harufu ya kibashitebashite!!!
 
Gandamiz,hishia,kupablish,zam Yao~mbona haya maneno yana harufu ya fa~fa~fa yaani harufu ya kibashitebashite!!!
Sometimes typing error na sometimes inatokea outo correct iko sio kipimo cha ubashite tafuta sababu za msing
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom