A: Mpanzu vs B: Pacome

A: Mpanzu vs B: Pacome

nan asiyejua uwezo wa pacome mchezaji pekee aliye ifunga al ahly mpaka inachukua ubingwa
Hiyo Alahly ilifungwa na kijana mdogo sana Luis Miquissone Pale kwa Mkapa miongoni mwa goli, ambalo lipo kwenye historia ya magoli Bora kabisa! Hilo la Pacome ulikuwa papatu papatu akabahatisha tu!!!
 
Hiyo Alahly ilifungwa na kijana mdogo sana Luis Miquissone Pale kwa Mkapa miongoni mwa goli, ambalo lipo kwenye historia ya magoli Bora kabisa! Hilo la Pacome ulikuwa papatu papatu akabahatisha tu!!!
al ahly alifungwa gori moja
 
Acha kumlinganisha Pacome na wachezaji machachari
 
Hii ni ngumu kumesa ...
left winger
mpanzu ni bora zaidi..
namba 10
sijui sababu sijamuona mpanzu akicheza 10,
hapa pacome ni bora zaidi
Right wing
Inategemea akiwa inverted basi pacome ni bora ikiwa winger kabisa mpanzu ni bora.
As centre midfielder
Pacome bora mpanzu sijamuona akicheza na aina yake ya mpira hawezi kuwa namba 8.

Kwa type ya mpira wao.
Mpanzu ni winger na 10 anaweza cheza.
Pacome ni versatile zaidi anacheza wimger zote,10 mpaka 8 za aina zote box to box midfielder na nyinginezo.
Football iq naona
Pacome ni bora zaidi.
Matumizi ya miguu yote mpanzu ni bora zaidi.

Ikiwa hakuna budi nitamchagua Pacome, na moja kati ya wachezaji nawahusudu sana, huwa naenjoy kumtizama, nikimtizama kama najiona mimi vile kabla magoti hayajaharibika.

Viongozi wa simba walileta usenge pale kutaka kuwatapeli mawakala kiasi wakawakosa pacome na wenzie ila saa hizi una pacome 10 kisha una mpanzu 11 *****, ni hatari.
Uzi umemalizikia hapa, Jamaa kamaliza kila kitu kwa uchambuzi kabisa.
 
Piga kura yako hapa tujue kati ya Mpanzu na pacome nani anajua mpira kuliko mwenzake.

A:Mpanzu
B: Pacome


NB: USHABIKI TUWEKE PEMBENI TUANGALIE UWEZO
Labda tumkate kwanza Pacome kichwa ili na yeye awe anakimbia kimbia tu hovyo iwanjani, ndiyo tuje kuwalinganisha sasa.
 
Kama mwandishi wa Uzi huu ni shabiki wa Yanga basi Mpanzu yuko juu ya Pacome na kama mwandishi ni shabiki wa Simba Pacome ni zaidi ya Mpanzu kwa nini?

Mara zote Apendae Chongo huita kengeza
na mwandishi kisirisiri ni shabiki wa hao wachezaji aliyowataja na haitokei kwa shqbiki wa Simbq akasifia mchezaji wa Yanga na kinyume chake pia Mpaka kuwalinganisha juwa kwamba muandishi ana mahaba mazito juu ya hao mabwana hivyo ingekuwa ni ndoa angetuuliza aolewe na nani kati ya hao?
 
Back
Top Bottom