Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
tena hawamuamini kwa sababu ya dini yake!Wewe ni miongoni mwa waliolaghaiwa. Ila wewe hujashiriki katika kutegea viongozi sumu, ila subiri rafiki zako watakapoanza kutajwa mmoja mmoja. Hawawezi kukushirikisha kwa sababu hawakuamini...
wenzako mambo mengi hawakushirikishi,hawakuamini tatizo ni dini yako!One million dollar rubbish which carries one million maladjusted logic are here to prove their one million stupidity.
Usitutoe kwenye mikakati yetu ya kumchunguza R1 aliyemkebehi Kibanda kwenye Facebook halafu alivyo na akili ndogo kama za babake anadanganya eti account yake ilitekwaYa Ridhiwan tumwachie Ridhiwan. Huu uzi unahusu mikasa ya matumizi ya sumu za kudhuru binadamu ndani ya chadema. Tuhuma ambazo tulizisikia mara ya kwanza toka kwa mpambanaji Mtela Mwampamba akimshutumu kijana Ben Saanane. Leo tuhuma hizo zimesikika rasmi ndani ya vyombo vya dola...
wenzako mambo mengi hawakushirikishi,hawakuamini tatizo ni dini yako!
tena hawamuamini kwa sababu ya dini yake!
Narudia kusema ni nitazidi kusema.
Mtu mwenye Taahira ya akili tu ndo anaweza kupoteza muda kufikiria issue Nyepesi Kama hii.
Unasema hii ishu ni nyepesi wakati ishu hii imehatarisha maisha ya binadamu mpaka kiongozi akaahidi kuangamizi mpaka panya wote katika nyumba ya mhusika.
Matumizi ya sumu ya kudhuru binaadamu kwenye siasa ni jambo jepesi only to an oligophrenic.
wenzako mambo mengi hawakushirikishi,hawakuamini tatizo ni dini yako!
Wakurupukaji, wachumia tumbo Kama wewe, hupofushwa na Njaa zao na kujikuta wana fanya mambo na kushabikia vitu amabavyo Kimsingi ni Mtu mwenye akili za Mwenda wazimu ndo anaweza kufanya.
Hawa watu hata ukiwaambia watembee uchi watatembea so long as Mkono unaenda Kinywani
Ningeshangaa usinge tumia sera yenu iliyo shindwa! Mnaligawa taifa letu kwa upumbavu wenu!
Aliyemteka Ulimboka huyu hapa
Hii video ime rekodiwa na jamaa wa cdm, Huu mchezo wamechezeana wenyewe. Ben Sanane Ameenda na maji.
Hiyo unaweza kuifungulia thread nyingine.
Hapa tunajadili chama kinachotumia sumu kudhuru watu.