A-level au Diploma?

Rout #1 Advance PCB
Rout #2 Clinical officer
Aisee asikuambie mtu rout no 2 ni fupi na nismooth kufika destination yako.
Rout no 1 ni ndefu na inamabonde na miinuko mingi muno, usitishwe na ufaulu wa olevel biology ya advance haitabiliki. Ni nyepesi kuisoma na kuilewa lakin sio kuijibia mitihani na hakuna kitu kupya utakachokisoma ambacho hujakisoma olevel.
Unanikumbusha mbali kidogo wakat nakomaaa na bs na fundamental nkaambulia c,kwa ile pepa ilivokua wazi nlisema ngegonga A kali lakin wapi
 
ushauri wangu kama atapangiwa shule nzuri kama kibaha,mzumbe,ilboru,tabora mwache aende akasome alevel,ila kama atapangiwa shule za kawaida ni bora umpeleke chuo tu
 
Mpeleke diploma, a level haitabiriki na haina mwenyewe,kama advance akasome shule za private tena zinazofanya vizuri sana kitaifa
 
Alevel ni building block kwa uwezo alionoa mpeleke Alevel itamsaidia hata akitaka kusoma kozi zingine baadae
 
Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana (2015) na amepata division one ya point 12 na angependa sana kuwa daktari. Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, ipi ni njia sahihi kwake maana kuna option mbili:
1/ Aende A-level akasome PCB
Hili jambo linanitatiza sana, maana anaweza kwenda A-level na mambo yakawa sio mazuri sana (God forbid) na mwisho wa siku anaweza kuishia kupoteza miaka miwili au akajikuta anapelekwa kozi ambayo haitaki (tofauti na udaktari) chuo kikuu kutokana na performance yake.

2/ Diploma in Clinical Medicine
Nimpeleke akachukue diploma ya clinical medicine miaka mitatu maana ana qualifications zinazotakiwa (ana C ya Physics, B ya Chemistry na A ya Biology pamoja na A ya Basic Mathematics). Ambapo akimaliza ndo ajiunge na Doctor of Medicine (MD). Hii itakua imemsaidia kufuata njia yake anayoitaka bila kupoteza muda au kuhofia kufuata njia nyingine kutokana na performance ya kidato cha 6.

Msaada wenu wa mawazo na ushauri wadau tafadhali.
Mpeleke akasome diploma hayo mengine yatafuata akishamaliza, tupo wengi ambao hata form 6 hatuijui.

Kule ni kupoteza muda na mikumbo kibao mwisho wa siku kama unavyosema hatatimiza malengo yake.
 
Asikudanganye mtu A-level ngumu... Ila mimi nasapoti aende advance coz ina heshima yake pia anakuwa na wide choice ya course ya kuchagua chuo.... Kwanza kabla hujafanya uamuzi mtathimini huyo dogo, he alifauli kisa ana bidii au kisa walimu walikuwa wana bidii? Kama ni walimu basi mpeleke tu diplo au advance ya private akakutane na walimu wenye bidii.... Me nawajua watu kibao nilisoma nao toka A-level walipasua One kali zaidi ya hiyo.... Wameenda A-level wametoka na 3 so fanya uamuzi bora
 
Kuna jamaa alipata points 09 olevel na alikuw ana passion ya udaktar vbaya mno
Shule alikuw anajiita Dr
Lakin advance imempotezea ndoto zake,sasa hv anasoma degree ya computer science IFM
Mpeleke diploma dogo awe na uhakika wa kutimiza ndoto yake
 
Mkuu hizo shule zilikuwa nzuri zamani sio kwa sasa

mkuu nalifahamu hilo,lakini kibaha,mzumbe,ilboru wako vizuri hauwezi kuzifananisha na tosa,pungu,azania nk.
na ata katika matokeo yao ya advance hauwez kukuta zero na hata div iv haziwezi kuzidi 4.
kwa upande mwingne hao madogo wanajielewa, kichwani wanauwezo wao binafsi wanafaulu bila ya mwalimu kuingia class.jaribu kutafuta matokeo ya advanc mwaka 2010 au 2011 uone madogo walivyokamua na kibaha wakatoa TO anaitwa muagachi A chacha,mzumbe wakatoa div 1=100,kibaha wakatoa 1=100.
 
Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana (2015) na amepata division one ya point 12 na angependa sana kuwa daktari. Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, ipi ni njia sahihi kwake maana kuna option mbili:
1/ Aende A-level akasome PCB
Hili jambo linanitatiza sana, maana anaweza kwenda A-level na mambo yakawa sio mazuri sana (God forbid) na mwisho wa siku anaweza kuishia kupoteza miaka miwili au akajikuta anapelekwa kozi ambayo haitaki (tofauti na udaktari) chuo kikuu kutokana na performance yake.

2/ Diploma in Clinical Medicine
Nimpeleke akachukue diploma ya clinical medicine miaka mitatu maana ana qualifications zinazotakiwa (ana C ya Physics, B ya Chemistry na A ya Biology pamoja na A ya Basic Mathematics). Ambapo akimaliza ndo ajiunge na Doctor of Medicine (MD). Hii itakua imemsaidia kufuata njia yake anayoitaka bila kupoteza muda au kuhofia kufuata njia nyingine kutokana na performance ya kidato cha 6.

Msaada wenu wa mawazo na ushauri wadau tafadhali.
Mpeleke dogo akapge clinical officer maana kama umesoma PCB,kufeli advance ni rahc Sana maana kufaulu kwake o,level kusikupe moyo mm naamini PCB ni combination ngumu kuliko zote duniani kwa sababu inamasomo mengi unaweza kusoma mpaka kichwa kikataka kupasuka utasoma PCB Kila somo linapractical,bado BAM(basic applied mathematics) and GS(general study) pia kama dogo anatoka family maskin,anaweza faulu vzur tu lakin mambo ya TCU wakamutupa education au faculty nyngne ambayo haikuwa moyoni na ikawa ngumu kubadli lakin akipga clinical officer baadae ni direct MD
 
Mpeleke dogo A Level mtafutie shule nzuri ya private ,kwa matokeo hayo dogo ana uwezo PCB atafaulu tu akikaza

Diploma ni route ndefu na usidhani akiingia ajirani ni rahisi kutoka kwenda kujiendeleza.Wengi wanaotoka inabidi waende kibishi na mtonyo unasitishwa so utasoma tu kama fresher

Then freshers atapata shida kwenye basic science pale,,dogo anaweza aende a level
 
Muulize anahtaj nn..kisha mpeleke,mbona cc tuko Advance na ni PCB na Mungu anatusaidia?...cha msingi ni kukomaa na kumwomba Mungu only
 
Kwa utaratibu wa TZ kama hajafanya A-Level kwenda MD sijui nimetoka kwenye system ya kusoma siku nyingi kidogo
 
Back
Top Bottom