Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,767
Unamshushia heshima. Kachakata mpaka mtoto wa diwani na kumpa mimba huyo.Umezoea wadada wa kazi?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Asante sana Emery[emoji171]Wow! One in a million!. Every one has his/her own standards when it comes to decisions that impact our lives. I like the confidence in you, how realistic you are and the energy you posses whilst standing for your preferences.
I'm sure the right men, who meet your qualifications are now queued PM, with their impeccable proposals.
All the best in your search.
Si Thatdumbgirl anatufanya tukatafute madaftari yetu ya kidato cha kidato cha kwanza wakati tunafundishwa lugha hii ya malkia ili tuje kuchangamkia fursa. Matokeo yake ndo hayo tunapata maneno kama "Chart". Sijui ndo zile za Pie Charts za kwenye hesabu au jiografia.Kwa nini?
Karibu tena.Asante sana Emery[emoji171]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimesikitika sana.Kama sio bikra umenikosa tayari.
Usikate Tamaa... Hapa Duniani ni watu wa aina mbili tu ambao watakuambia "Huwezi".Honestly,nimegundua watu ni waoga sana. People have to question what other people will think before doing anything, na hili linarudisha sana watu nyuma. Na sio kwenye mapenzi tu, hata maisha in general.
.
.
By the time these people realise that it was important to make their life a priority and be selfish at times, it's too late.
.
So I don't give a fig about negative criticism.
Kwa wale wote waliopoteza muda wao settling for less and they now regret about it, all those who are trying to project their relationship failures on me, all those who are trying to compare themselves to me, napenda kuwapa pole sana, na kuwashauri pengine its not too late.
.
Sending y'all my love and light.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifurahisha sana. Haya Cardiovascular, nitauvundika uchi wangu.Unasikitika nini? umeweka vigezo vyote ilihali sio bikra. Pole sana endelea kuvundika uchi wako.
Aww...that positivity brought tears to my eyes[emoji847] Asante sana Vladimir[emoji171].Usikate Tamaa... Hapa Duniani ni watu wa aina mbili tu ambao watakuambia "Huwezi".
1-Waliowahi kujaribu kisha wakashindwa !!
2-Wanaohofia ukijaribu utafanikiwa.
Hawa wa aina hii, ni vzur ukajifunza kwao matokeo ya kile unachokifanya !!...
Mie nmekubali unavyojiamini na kujikubali na unaonyesha unafanya matumizi sahihi ya ubongo wako na kwamba maisha yako ni binafsi na huruhusu mtu kuyaingilia, kimtizamo na kimaana!! ...na hii ndio tafasiri sahihi ya "Mwanadamu Huru"
Ni ktk 23 tu, lkn unamawazo makubwa ambayo yanakusaidia uitizame Dunia ktk nyanja tofauti na changamoto zake .... awali nalitegemea kwa umri wako utakua nalugha za matusi n.k !!!.
Lkn maajabu, unashuka na watu polepole ,huku ukiendelea kuwaonyesha sehemu ya Pili ya Dunia ilivo kwa 23 yrs ,
Sometimes it feels Great, Safe and Calm to love such a Decided Girl , Determined Woman and Practical Lady like you , You are so intelligent that means ,there must be a Good reason for you to defend your point of view !!
Nothing more, but I think you are Beautiful, sexiest, hottest and attractive by Nature!!!.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Si Thatdumbgirl anatufanya tukatafute madaftari yetu ya kidato cha kidato cha kwanza wakati tunafundishwa lugha hii ya malkia ili tuje kuchangamkia fursa. Matokeo yake ndo hayo tunapata maneno kama "Chart". Sijui ndo zile za Pie Charts za kwenye hesabu au jiografia.
Msichana wa kazi wa kwa diwani[emoji28][emoji28][emoji28]haukosoma btn linesUnamshushia heshima. Kachakata mpaka mtoto wa diwani na kumpa mimba huyo.
Ok Shukran !!Aww...that positivity brought tears to my eyes[emoji847] Asante sana Vladimir[emoji171].
Hayaa, nenda kaandike post yako na wewe uweke vigezo vyako[emoji57]Vigezo ninavyo ila na mimi nina kigezo kimoja tu uwe BIKRA
Aisee. Mi nijua kaopoa mtoto wa diwani kumbe ni msichana wa kazi kwa Diwani. Kumbe ndo maana hapa kaona kabisa hachomoki kabla hata hajajaribu bahati yake.Msichana wa kazi wa kwa diwani[emoji28][emoji28][emoji28]haukosoma btn lines
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sina hiyo CV mi kazi yangu ni mchomaji wa kiepe na ngeri wapi na wapiUmezoea wadada wa kazi?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] AiseeeeeeeeAisee tangu nimeanza soma huu uzi hakuna mahali nimejikuta nacheka kama hapa baada ya kusoma comment yako mkuu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Unamshushia heshima. Kachakata mpaka mtoto wa diwani na kumpa mimba huyo.