A friend needed

Mbuty

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
412
Reaction score
239
Hello JF,

Rafiki apa aged 29. Nina elimu ya chuo (shahada ya kwanza). Ninafanya kazi, napenda mpira wa miguu, kuogelea, kwenda beach kupata upepo wa bahari, kusafiri, kuwa na furaha na kuna watu wakiwa na furaha. Nahitaji marafiki wa kuchat na kubadilishana uzoefu wa mambo mbali mbali.

Asante. 0772812792
 
Duh! mapenzi hayajalish elimu wala umri, huko chuo hukupata rafiki? sekondari je?
 
Duh! mapenzi hayajalish elimu wala umri, huko chuo hukupata rafiki? sekondari je?

Rafiki think beyond the box. Kwani hayo maelezo yamesema sina rafiki au mpweke kiasi hicho? Hakuna njia ya kidunia iliyokubaliwa na Kuwekwa inayotumika ktk kutafuta marafiki kama IFRS(International Financial Accounting Standards). Na kama umesoma vizuri sijahusisha mambo ya mpenzi hapo(kimtokacho MTU ndicho kimjazacho), unawaza mapenzi tu kaka!

Sisi tunaojua mahusiano mema tunamarafiki toka katika kila mazingira ya kimaisha hivyo sijaona tatizo hapo. He ni dhambi mimi kutafuta Rafiki? Hebu prove me wrong kidogo hapo na kama sio kosa basi hebu text me via the number hapo chini. Ila thanks kwa kuchangia mawazo yako pia. Ninashawishika kuamini kuwa nawe umeaima chuo na sishawishiki kuamini kwamba umekuwa ukikataa kuwa na marafiki wengine mosi kulingana na umri wako lakini zaidi kwakuwa unamarafiki Wa kukutosha uliotokanao chuo.

Asante
 
Kuna wakati huwa nawaza inakuaje mtu mpaka anatafuta marafiki? lakini majibu huwa sipati, ninachoamini moyo wa mtu kichaka una mengi. Kila la kheri utawapata tu.
 
Kuna wakati huwa nawaza inakuaje mtu mpaka anatafuta marafiki? lakini majibu huwa sipati, ninachoamini moyo wa mtu kichaka una mengi. Kila la kheri utawapata tu.

Thanks.
 
Utakuwa una lako jambo....A friend needed???????????? Kweli
 
Kuna wakati huwa nawaza inakuaje mtu mpaka anatafuta marafiki? lakini majibu huwa sipati, ninachoamini moyo wa mtu kichaka una mengi. Kila la kheri utawapata tu.
Ndg bora tunasaidiana kuwaza.... Kutafuta rafiki kweli?????
 
Binadamu tuna mengi mkuu...... Tumtakie tu kila lenye kheri ndugu yetu apate rafiki.

Tunajiaminisha katika kubisha kila jambo, wewe kama jambo hilo kwako unaliona ni gumu au huna utaratibu nalo basi usilazimishe uwe hivyo kwa mwenzako pia. Halafu tunatoka culture tofauti sana, ukiweza kuniambia dhambi iliyopo katika kutafuta rafiki itakuwa ni njema kuliko kuwa antagonistic. Nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…