Dah!! Umenikumbusha mbali sana. Mambo ya Tripitaka: Vinaya, Sutra, na Abhidharma.
Kong bu yi se, se bu yi kong
kong ji shi se, se ji shi kong. Hapo unagonga 'muyu' kama huna akili nzuri vile.
Kwenye hiyo picha kama sikosei yule kule mbele ni "mzungu f@la".
Ila wacongo waliharibu sana, mpaka waafrica wote tukaonekana siyo.
Mkuu ulimaliza nyundo tatu???