Japo wengine kila kukicha hawaachi kupiga kelele kuwa CCM na JK wanainyonya Tanzania mie nacheka mpaka jino la mwisho. YES, najua JK ndiye mmiliki wa Richmond na DOWANS kama Lowassa alivyotueleza; najua pia katika kusherehekea miaka 50 ya umaskini serikali imefuja bilioni zaidi ya 60, na mengine mengi tu.
Kila nikiangalia hivi najiuliza hivi ni laana au baraka kwamba matukio haya yanaendelea Tanzania. Mimi naamini ni baraka maana CCM na JK wapo madarakani kwa upuuzi wa watanzania waliowapigia kura. Hata kama aliiba kura, aliyefanya actual stealing ni maskini mwenzangu wala sio JK na mkewe Salma.
My gut feeling inaniambia watanzania watabadilika only if watanyonywa hadi damu ya mwisho vinginevyo ubwabwa tu na tisheti za CCM zitawafanya waipigie CCM. Naomba Mungu JK azidi kudhulumu hasa wale wanaorubuniwa na kofia na tisheti za kijani na manjano ili ifikapo 2015 wageuke na kuona kuwa CCM ni shetani linalotakiwa kutokomezwa tanzania.
In the meantime, JK kula uvimbiwe. Ufisadi unaofanya ndio utafungua macho wadanganyika siku moja. Kula wala usimbakishie baba kama tulivyokuwa tukicheza zamani.
Kila nikiangalia hivi najiuliza hivi ni laana au baraka kwamba matukio haya yanaendelea Tanzania. Mimi naamini ni baraka maana CCM na JK wapo madarakani kwa upuuzi wa watanzania waliowapigia kura. Hata kama aliiba kura, aliyefanya actual stealing ni maskini mwenzangu wala sio JK na mkewe Salma.
My gut feeling inaniambia watanzania watabadilika only if watanyonywa hadi damu ya mwisho vinginevyo ubwabwa tu na tisheti za CCM zitawafanya waipigie CCM. Naomba Mungu JK azidi kudhulumu hasa wale wanaorubuniwa na kofia na tisheti za kijani na manjano ili ifikapo 2015 wageuke na kuona kuwa CCM ni shetani linalotakiwa kutokomezwa tanzania.
In the meantime, JK kula uvimbiwe. Ufisadi unaofanya ndio utafungua macho wadanganyika siku moja. Kula wala usimbakishie baba kama tulivyokuwa tukicheza zamani.