Waliofikwa na umauti poleni.
Ila Happy Nation huwa ni basi ninalojua lina mwendo kasi sana, cha ajabu ndio usafiri pekee ninaoupenda nikisafiri kwenda Mbeya.
Taarifa ya habari ITV; waliokufa ni abiria saba akiwemo dereva wa Ngorika, na abiria 3 waliokuwemo kwenye gari ndogo pamoja na dereva, kwenye Ratco ni majeruhi tu japo dereva kakatika miguu yote miwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.