A black day! Ajali ajali ajali

A black day! Ajali ajali ajali

Mbona nduguye katika uzi wa ajali kaandika ni mguu mmoja uliokatwa...isipokuwa mwingine umevunjika

Nimequote kwenye taarifa ya habari ITV, kwahiyo ndugu yake anaweza kuwa sahihi zaidi
 
Kwa kweli nimesikitishwa sana na ajali zilizotokea,
Otherwise, mshana jr umenitatiza, why call it a BLACK day?, kwa nini utumie rangi nyeusi kama kiashirio cha mabaya?
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli nimesikitishwa sana na ajali zilizotokea,
Otherwise, mshana jr umenitatiza, why call it a BLACK day?, kwa nini utumie rangi nyeusi kama kiashirio cha mabaya?

Ukipata taarifa za ajali zote zilizotokea Leo, utajua ni kwanini, tangu kunapambazuka ni ajali tu leo
BTW hata misibani tunatumia nguo nyeusi kuonyesha huzuni na majonzi yetu, hapo sikuwa na maana ya mabaya bali huzuni na majonzi
 
Last edited by a moderator:
hiyo happy nation iliyo anguka nilipanda jana toka mbeya kuja dar, mwendo wake kama formula 1.Nili mwambia jamaa yangu siku hii basi ikipata ajali kwa mwendo ule itakua majanga, too bad ime tokea leo.
Pole kwa majeruhi na wafiwa.
 
mshana jr ajali ya Happy Nation ina majeruhi wowote au vifo?
 
Last edited by a moderator:
Kweli kaka na udereva ndio ilikua kazi yake mguu hana tena ataanza maisha mapya dah inasumbua sana hii ila Mungu amsaidie

Mungu anajua ni kwanini haya yatokee lakini inauma
 
nimekuwa nafuatilia sana mwezi wa april, february na august kunatokeaga vitu visivyo sahulika yaani vya kusikikika zaidi mara nyingi huwa ni vya kimataifa
 
Poleni sana ndugu wote mliopatwa na janga hili baya
 
attachment.php



Kweli hujafa hujaumbika.

Ameaga nyumbani kuelekea safari akiwa mzima aliekamilika viungo vyake baada ya muda nyumbani wanapata taarifa kama hii.

Kwa kweli inasikitisha sana.

Tujitahidi sana kumuomba Mungu kila siku maishani mwetu
 
Ukipata taarifa za ajali zote zilizotokea Leo, utajua ni kwanini, tangu kunapambazuka ni ajali tu leo
BTW hata misibani tunatumia nguo nyeusi kuonyesha huzuni na majonzi yetu, hapo sikuwa na maana ya mabaya bali huzuni na majonzi
Huu ni utamaduni ambao waafrika tunatakiwa kuupiga vita, black is the colour of our skin, why use it to symbolize calamities?
Kwa nini isitumike kijani au njano?
 
Back
Top Bottom