95% ya watanzania ni day work hawezi hawawezi kuishi siku 3 bila kutafuta riziki ya kila siku

95% ya watanzania ni day work hawezi hawawezi kuishi siku 3 bila kutafuta riziki ya kila siku

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,555
Reaction score
40,749
Sustainable strikes and demonstration katika nchi za third world countries ni ngumu sana kwa sababu raia wengi hawawezi ku-survive kwa siku zaidi ya tatu bila kutoka nje kuenda kutafuta daily bread tuna "hand to mouth economy"

Madikiteta wengi wa Africa wemesurvive kwa mbinu hizo za kufungia watu ndani
Madamano yoyote yakizidi siku ya tatu lazima uporaji wa chakula dawa nk lazima utokee tu, sio kwa nia mbaya ila kwa kusurvive.

Just imagining unatangaza total lockdown kuanzia tarehe 7, 8, kufika tarehe 10 lugha itakua imebadilika "tunaomba tufunguliwe tununue vyakula vya watoto jamani".....

Je wewe plan "B" yako ni ipo kama linatokea hilo la kutokea?
 
So, tuache kupambania nchi kwa sababu ya njaa, chanzo cha maisha magumu kwa watanzania ni hawa hawa watawala wasiokuwa na mipango mizuri ya kuboresha maisha ya watanzania,wanachowaza ni matumbo yao tu
 
Muhammad kasema mambo yakiwa magumu unaweza kufanya kama walivyo fanya kina shekh mazinge wewe vipi ! Upo dunia gani🙄
Acha ukichaa bangi wewe Dujeumsaeng.

Wapi kasema hivyo ?

Kama huna kazi SI Bora uendelee kusuka mikeka kuliko kuandika upuuzi ?
 
Acha ukichaa bangi wewe Dujeumsaeng.

Wapi kasema hivyo ?

Kama huna kazi SI Bora uendelee kusuka mikeka kuliko kuandika upuuzi ?
Mbona unakuja mbio mbio ...haya fafanua nilicho maanisha ....niambie muhammad alisema nini ? Na nini alifanya shekh mazinge ? Kama ujui mbona unapinga usicho kielewa
 
Muhammad kasema mambo yakiwa magumu unaweza kufanya kama walivyo fanya kina shekh mazinge wewe vipi ! Upo dunia gani
We mwanamke ni mpuuzi siku zote hata kwenye national issues muhimu unaleta udini wako, kwa kweli mme wako ana kazi kukutuliza.
 
Mbona unakuja mbio mbio ...hata fafanua nilicho maanisha ....niambie muhammad alisema nini ? Na nini alifsnya shekh mazinge ? Kama ujui mbona unapinga usicho kielewa
Nilikuwa najua tu lazima itakuwa pumba kama inavyofanya siku zote .

Haya fafanua , ikiwa ukweli na sio pumba nitaomba radhi.
 
Nilikuwa najua tu lazima itakuwa pumba kama inavyofanya siku zote .

Haya fafanua , ikiwa ukweli na sio pumba nitaomba radhi.
Muhammad kasema njaa ikiwa kali unaweza kukamata hata kitimoto na kukielekeza kibla na kutamka maneno ya kuchinja na kumkaanga na kula ... Covax kaulizia na kuelezea maswala ya njaa kwenye lockdown.
 
Just imagining unatangaza total lockdown kuanzia tarehe 7, 8, kufika tarehe 10 lugha itakua imebadilika "tunaomba tufunguliwe tununue vyakula vya watoto jamani".....
Hio inaitwa Chicken Psychology ukitaka kuwashinda usifuate wanavyotaka wao fanya vile unavyotaka wewe wakikwambi usije wewe nenda wakikwambia njoo wewe usiende au ondoka.. jifunze jinsi ya kudeal na hio Chicken Psychology wanayoitumia hao wapuuzi ya kupiga lockdown wanaona watu km kuku tu
 
Hio inaitwa Chicken Psychology ukitaka kuwashinda usifuate wanavyotaka wao fanya vile unavyotaka wewe wakikwambi usije wewe nenda wakikwambia njoo wewe usiende au ondoka.. jifunze jinsi ya kudeal na hio Chicken Psychology wanayoitumia hao wapuuzi ya kupiga lockdown wanaona watu km kuku tu
It's called weaponising food, by dictators
 
Muhammad kasema njaa ikiwa kali unaweza kukamata hata kitimoto na kukielekeza kibla na kutamka maneno ya kuchinja na kumkaanga na kula ... Covax kaulizia na kuelezea maswala ya njaa kwenye lockdown.
Sio njaa ikiwa Kali kijana , njaa ikiwa Kali mtu unaweza kusurvive.

Sheria unataka ule kisicho ruhusiwa kula (ikiwa hakidhuru) kwa ajili ya kutoka maisha (uhai ) pale inapofika stage unaona sitoboi na hakuna namna ya kupata msosi karibuni kwa njia yeyote mfano upo majangwani na hakuna chakula kingine na sio njaa Kali tu

Ukisema njaa Kali tu unakosea sababu unaweza kuwa na njaa Kali mchana usiku ikawa uhakika kula ukapiga pasi ndefu mchana mpaka usiku.

Na unaweza kuwa na njaa Kali lakini Kuna options nyingine nzuri sio kitimoto sasa huwezi kuchukua kitimoto kisa njaa Kali
 
It's called weaponising food, by dictators
They are using Chicken Psychology.. wewe unafungiwa ndani na unanyimwa chakula na maji wewe kuku wa kienyeji unataka utoke ukajitafutie kufungiwa ndani utakulaje? Unanielewa namaanisha nini? Yaan wewe kuku wa kienyeji ili uishi inabidi utoke ukachakule chakule majalalani kule upate chochote kitu bila hivyo ukifungiwa ndani na hauli na kunywa maji utakufa kwa njaa
 
Back
Top Bottom