95 Wapewa Mimba Same Kilimanjaro Kuanzia January- October 2017

95 Wapewa Mimba Same Kilimanjaro Kuanzia January- October 2017

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau
Jumla ya Wanafunzi 95 wa Shule za Sekondari Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro wamepewa mimba katika kipindi cha kuanzia January- October 2017 na hivyo kukatizwa masomo yao.
Watuhumiwa bado hawajakamatwa pamoja na taarifa kupelekwa kwa vyombo husika.
 
Ao watoto watakua watamu sio kwa rate hiyooo
[HASHTAG]#nahamiasame[/HASHTAG]
 
Watani zangu si watu wa kispot spot

Mshana jr ukuje hapa
 
Watoto wa kichagga wameanza kuchizika kwa Dudu Kama wa kimakonde
 
Nyie si mlifanya tafiti na kusema Ukanda huo Wanaume ni Magoigoi hadi Wakina Mama wanapata huduma za Kijamii toka Kenya? Sasa hao Wanafunzi 95 imekuaje tena???
 
Kumbe huko saizi wanatombana sana kushinda mikoa ya pwani??
 
Watani zangu si watu wa kispot spot

Mshana jr ukuje hapa

Usimwonee mshana jr Shule hiyo kuwa Same haimaanishi ni ya Kipare. Same Sec ni shule pekee yenye kuchukua wenye vipawa kule Kilimanjaro. Tujiulize, Je ninyi mabinti mmeamua kumkomesha nani?
 
Watani zangu si watu wa kispot spot

Mshana jr ukuje hapa

Usimwonee mshana jr Shule hiyo kuwa Same haimaanishi ni ya Kipare. Same Sec ni shule pekee yenye kuchukua wenye vipawa kule Kilimanjaro. Tujiulize, Je ninyi mabinti mmeamua kumkomesha nani?
 
Back
Top Bottom