M Matukutuku JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 269 Reaction score 126 Apr 14, 2014 #1 tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24
tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24
nngu007 JF-Expert Member Joined Aug 2, 2010 Posts 15,860 Reaction score 5,803 Apr 14, 2014 #2 Matukutuku said: tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24 Click to expand... Gardner ni nani? Mwanasiasa ??
Matukutuku said: tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24 Click to expand... Gardner ni nani? Mwanasiasa ??
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,369 Reaction score 27,785 Apr 14, 2014 #3 Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!! Nadhani huo ni mwanzo tu,.
Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!! Nadhani huo ni mwanzo tu,.
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,046 Reaction score 12,542 Apr 14, 2014 #4 nngu007 said: Gardner ni nani? Mwanasiasa ?? Click to expand... Ni Rubani wa Air Tanzania....
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Apr 14, 2014 #5 Matukutuku said: tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24 Click to expand... Wapi #Ruge .....!!???
Matukutuku said: tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24 Click to expand... Wapi #Ruge .....!!???
C ChiefmTz JF-Expert Member Joined Apr 15, 2008 Posts 2,942 Reaction score 951 Apr 14, 2014 #6 Inasikika wapi
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,903 Reaction score 28,047 Apr 14, 2014 #7 Wailete na Arusha..
S shigegele JF-Expert Member Joined Mar 13, 2014 Posts 211 Reaction score 25 Apr 14, 2014 #8 tedo said: Wailete na Arusha.. Click to expand... arusha kuna mabomu mkuu
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,400 Apr 14, 2014 #9 TANMO said: Ni Rubani wa Air Tanzania.... Click to expand... Acha uongo, Gardner ni mchungaji ana kanisa lake ubungo; mh watu wengine bwana
TANMO said: Ni Rubani wa Air Tanzania.... Click to expand... Acha uongo, Gardner ni mchungaji ana kanisa lake ubungo; mh watu wengine bwana
masai dada JF-Expert Member Joined Dec 29, 2013 Posts 16,802 Reaction score 16,832 Apr 14, 2014 #10 hahahaha gardner ni mume wa jide mkuuu naona umepewa multiple choice chagua jibu sahihi
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 24,940 Reaction score 26,796 Apr 14, 2014 #11 chakii said: Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!! Nadhani huo ni mwanzo tu,. Click to expand... Kwa nini iwe binti machozi, asiwe brother Gardner? Una uhakika gani kama imetafutwa kwa nguvu za Jaydee?
chakii said: Huyu binti Machozi ni mtafutaji sana wala sishangai yeye kumiliki Radio station!! Nadhani huo ni mwanzo tu,. Click to expand... Kwa nini iwe binti machozi, asiwe brother Gardner? Una uhakika gani kama imetafutwa kwa nguvu za Jaydee?
A AmaniGK JF-Expert Member Joined Jan 10, 2008 Posts 1,170 Reaction score 408 Apr 14, 2014 #12 Radio ya akina Majay hiyo
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Apr 14, 2014 #13 TANMO said: Ni Rubani wa Air Tanzania.... Click to expand... alisha acha huko anaendesha trein ya TAZARA...
TANMO said: Ni Rubani wa Air Tanzania.... Click to expand... alisha acha huko anaendesha trein ya TAZARA...
Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,415 Reaction score 12,622 Apr 14, 2014 #14 Ivi kwani nyie mnaongelea nini? Ha ha ha! Eti dada anamwomba boyfriend wake shs 500,000 akasuke! Jamaa anamuuliza unaenda kusukaa au kufanya operesheni ya kichwa?
Ivi kwani nyie mnaongelea nini? Ha ha ha! Eti dada anamwomba boyfriend wake shs 500,000 akasuke! Jamaa anamuuliza unaenda kusukaa au kufanya operesheni ya kichwa?
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 19,030 Reaction score 15,232 Apr 14, 2014 #15 Zamaulid said: alisha acha huko anaendesha trein ya TAZARA... Click to expand... Sio kweli kwa sasa anaendesha basi la UDA lile kubwa!
Zamaulid said: alisha acha huko anaendesha trein ya TAZARA... Click to expand... Sio kweli kwa sasa anaendesha basi la UDA lile kubwa!
Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,415 Reaction score 12,622 Apr 14, 2014 #16 pilipili kichaa said: Sio kweli kwa sasa anaendesha basi la UDA lile kubwa! Click to expand... Ahaa! Ni lile linaloenda Msakuzi eeh!
pilipili kichaa said: Sio kweli kwa sasa anaendesha basi la UDA lile kubwa! Click to expand... Ahaa! Ni lile linaloenda Msakuzi eeh!
nngu007 JF-Expert Member Joined Aug 2, 2010 Posts 15,860 Reaction score 5,803 Apr 14, 2014 #17 TANMO said: Ni Rubani wa Air Tanzania.... Click to expand... Sasa huyo rubani ana uhusiano gani na hiyo radio, Au ni U-MIMI -- NO SHARING INFO as USUAL
TANMO said: Ni Rubani wa Air Tanzania.... Click to expand... Sasa huyo rubani ana uhusiano gani na hiyo radio, Au ni U-MIMI -- NO SHARING INFO as USUAL
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Apr 14, 2014 #18 Zamaulid said: alisha acha huko anaendesha trein ya TAZARA... Click to expand... hapana, sasa anaendesha boti za kigogo-jangwani.....
Zamaulid said: alisha acha huko anaendesha trein ya TAZARA... Click to expand... hapana, sasa anaendesha boti za kigogo-jangwani.....
Cheche Mtungi JF-Expert Member Joined Nov 14, 2010 Posts 2,619 Reaction score 775 Apr 14, 2014 #19 Matukutuku said: tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24 Click to expand... Matukutuku ===>Huu ndio ushindani wa kweli,sio kupiga majungu na longolongo mtaani,fanya kazi,pata hela,tumia hela. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Matukutuku said: tetesi zinasema haya masafa ni kwa ajili ya redio mpya ambayo lady JayDee na mume wake Gardner wameanzisha. Kwa sasa ipo hewani inapiga muziki masaa 24 Click to expand... Matukutuku ===>Huu ndio ushindani wa kweli,sio kupiga majungu na longolongo mtaani,fanya kazi,pata hela,tumia hela.
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,370 Apr 14, 2014 #20 nngu007 said: gardner ni nani? Mwanasiasa ?? Click to expand... ndio ni mwanasiasa pia ni wazili wa utalii wa somalia. Alimshinda mpinzani wake wa siku nyingi,wayne rooney wa chama cha somalia democratic party(sdp)
nngu007 said: gardner ni nani? Mwanasiasa ?? Click to expand... ndio ni mwanasiasa pia ni wazili wa utalii wa somalia. Alimshinda mpinzani wake wa siku nyingi,wayne rooney wa chama cha somalia democratic party(sdp)