hlary junior
Member
- Aug 28, 2013
- 23
- 1
kwa watakaohitaj internent 900GB kwa mwezi mwzi mzim tuwasiliane ni tsh 15500 tuuu
AIRTEL WANATOA 1.5 GB, DK 61 NA SMS BILA KIKOMO KWA 999 TU kwa saa 24.
Hauoni kuwa yako ni ghali sana?
Kwa bei ya airtel, kupata gb 15 ni 14985 pamoja na dk 915 kwenda mitandao yote.